Latest Posts
SIMBA YAIPOTEZA KCM KWA MABAO 2-0 UWANJA WA TAIFA, LUIS AFANYA YAKE
LUIS Miquissone leo amewainua mashabiki wa Simba kwa kupachika kimiani mabao mawili yote wakati wakiilaza KMC kwa mabao 2-0 Uwanja wa Taifa.Mchezo wa leo,Machi Mosi…
JURGEN KLOPP AIPA TANO WATFORD KWA KUMTIBULIA REKODI YAKE MAZIMA
KOCHA Mkuu wa Liverpool, Jurgen Klopp amesema kuwa wapinzani wao Watford walistahili kushinda mabao 3-0 waliyoyapata kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu England.Mchezo huo uliochezwa…
KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA KMC
KIKOSI cha Simba kitakachoanza leo dhidi ya KMC Uwanja wa Taifa saa 2:00 usiku
JESHI LA ASTON VILLA DHIDI YA MANCHESTER CITY, SAMATTA NDANI
KIKOSI cha Aston Villa kitakachoanza leo dhidi ya Manchester City. Fainali ya Carabao, Samatta ndani
KMC KWENYE KIBARUA KIZITO CHA KUFUTA UTEJA MBELE YA SIMBA, REKODI ZINAIBEBA SIMBA
SVEN Vandenbroeck,Kocha Mkuu wa Simba leo, Machi Mosi atakiongoza kikosi chake Uwanja wa Taifa dhidi ya KMC iliyo chini ya Harerimana Haruna. KMC iliyopanda daraja…
KOCHA WA SAMATTA AMPA KAZI NYINGINE YA KUFANYA, LEO KITAWAKA MBELE YA CITY
DEAN Smith, Kocha Mkuu wa Aston Villa amesema kuwa ana imani na nyota wake mpya Mbwana Samatta atakuwa msaada kwenye kikosi hicho.Leo Samatta ana kazi…
MASHABIKI WAITWA KUICHEKI U 17 BURE KABISA
BAKARI Shime, Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Wanawake chini ya miaka 17 amesema kuwa kikosi kipo tayari kuwavaa Uganda hivyo mashabiki wajitokezekwa wingi…
KOCHA WA KMC KUVAA SIMBA NA HOFU KUBWA YA KIBARUA CHAKE
IMEELEZWA kuwa Kocha Mkuu wa KMC leo anaingia uwanjani na kikosi chake akiwa na hofu tupu juu ya kibarua chake ndani ya timu hiyo.KMC leo…
JESHI LA TIMU YA TAIFA YA U 17 LITAKALOANZA DHIDI YA UGANDA LEO TAIFA
HILI hapa jeshi la timu ya Taifa ya Wanawake chini ya miaka 17 litakaloanza dhidi ya Uganda leo Uwanja wa Taifa.