JEMBE LA KAZI SASA LAANZA MAZOEZI NDANI YA SIMBA
MZAMIRU Yassin, kiungo wa Simba ameanza mazoezi ili kurejea uwanjani kutokana na majeraha aliyoyapata kwenye mechi dhidi ya Yanga.Mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Taifa, Januari…
MZAMIRU Yassin, kiungo wa Simba ameanza mazoezi ili kurejea uwanjani kutokana na majeraha aliyoyapata kwenye mechi dhidi ya Yanga.Mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Taifa, Januari…
KIKOSI cha Azam FC kimeanza maandalizi ya kuiwinda Namungo FC kwa ajili ya mchezo wao utakaopigwa kesho, Februari 22, saa 10:00 Uwanja wa Majaliwa.Azam FC…
TIMU ya Mwadui FC ya Shinyanga kwa kulazimisha sare nayo ni balaa ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2019/20. Msimu huu namba moja kwa…
JONAS Mkude, kiungo ndani ya Simba amesema kuwa akili zao kwa sasa ni kuona namna gani wanaweza kutetea taji lao la ubingwa walilotwaa msimu uliopita…
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa unawalipa wachezaji wao mshahara wao kwa wakati pamoja na wafanyakazi wengine hakuna ambaye anwadai.Taarifa ambayo imetolewa na Yanga imeeleza kuwa…
BAKARI Mwamnyeto, nahodha wa Coastal Union amesema kuwa watapambana mbele ya Yanga kupata matokeo chanya kwenye mchezo wa kesho utakaopigwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.Coastal Union…
OMARY Madenge, Kocha Msaidizi wa Biashara United amesema kuwa mpango mkubwa kwa timu yake ni kupambana mbele ya Simba na kupata pointi tatu bila kuhofia…
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Ijumaa
MASAU Bwire, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting amesema kuwa watawafudisha soka wapinzani wao Polisi Tanzania kwenye mchezo wao wa Lgi Kuu Bara utakaochezwa kesho Uwanja…
MUONEKANO wa Ukurasa wa nyuma Gazeti la Championi Ijumaa