KUMBE! UGUMU WA LIGI WAIPA PRESHA JKT TANZANIA
ABDALLAH Mohamed ‘Bares’, Kocha Mkuu wa JKT Tanzania amesema kuwa ugumu wa Ligi Kuu Bara unawafanya wachezaji wake wajitume uwanjani jambo analoamini kwamba wataibuka washindi…
ABDALLAH Mohamed ‘Bares’, Kocha Mkuu wa JKT Tanzania amesema kuwa ugumu wa Ligi Kuu Bara unawafanya wachezaji wake wajitume uwanjani jambo analoamini kwamba wataibuka washindi…
FRANK Lukwaro, Ofisa Habari wa Polisi Tanzania amesema kuwa ni ngumu kwa Yanga leo kuondoka na pointi tatu kutokana na maandalizi makini ya kikosi waliyoyafanya.Leo…
KOCHA Mkuu wa Manchester United,Ole Gunnar Solskjaer amesema hafikirii kama wachezaji wake walicheza vizuri mbele ya Chelsea.Manchester United ilishinda jumla ya mabao 2-0 ikiwa Uwanja…
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo FC amesema kuwa uchovu kwa wachezaji unampa mashaka kidogo ila hesabu zao ni kushinda mechi yao leo dhidi ya…
MECKY Mexime, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar amesema kuwa wapinzani wake Simba wapo vizuri ila wao hawana hofu na hilo.Kagera Sugar leo itakuwa kazini Uwanja…
MBEYA City leo wataikaribisha Lipuli kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Sokoine.Huu utakuwa mchezo wa kwanza kwa timu hizi msimu huu kutumia…
WILFRED Kidao, Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) amesema kuwa kilichotibua ratiba ya Ligi Kuu Bara kuwa kama ilivyo sasa ni kupanguliwa kwa…
MICHUANO ya Chan inatarajiwa kufanyika mwezi Aprili 2020 nchini Cameroon na Tanzania imepangwa Kundi D pamoja na mataifa ya Zambia, Namibia na Guinea kwenye michuano…
CHARLES Mkwasa, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa mchezo wa leo dhidi ya Polisi Tanzania ni mgumu ila wamejipanga kupata pointi tatu muhimu.Leo, Februari 18…
LIGI Kuu Bara inazidi kuchanja mbunga kwa sasa ikiwa ni mzunguko wa pili, hii hapa ratiba ya mechi ambazo zitakuwa Live ndani ya Azam TV:-