Uncategorized

LICHA YA UCHOVU WA SAFARI, NAMUNGO WAIPIGA MKWARA KMC

admin February 18, 2020 4:22 am

HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo FC amesema kuwa uchovu kwa wachezaji unampa mashaka kidogo ila hesabu zao ni kushinda mechi yao leo dhidi ya KMC utakaochezwa Uwanja wa Majaliwa.

Februari 15, Namungo ilikuwa mkoani Shinyanga na ilimenyana na Mwadui FC ikaambulia pointi moja kwa sare ya kufungana bao 1-1.

Thiery amesema:”Wachezaji wanatumia muda mwingi kwenye safari ila kikubwa ambacho ninawaamini watapambana na kutafuta matokeo,”.

Namungo ipo nafasi ya tano ikiwa na pointi zake 37 itamenyana na KMC iliyo nafasi ya 16 na pointi 21.

HII HAPA RATIBA YA WIKI HII NDANI YA LIGI KUU BARA KAGERA SUGAR YAZITAKA POINTI TATU ZA SIMBA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply