IFIKE WAKATI MAKOCHA ISHU YA LAWAMA ZIFIKE MWISHO
MAKOCHA wengi wa Bongo wanapenda sana kujisifia kwa kazi nzuri lakini wanakuwa wagumu kukubali pale wanapokosea. Hayo yapo kwa kila binadamu, wengi wetu hatutaki kukubali…
MAKOCHA wengi wa Bongo wanapenda sana kujisifia kwa kazi nzuri lakini wanakuwa wagumu kukubali pale wanapokosea. Hayo yapo kwa kila binadamu, wengi wetu hatutaki kukubali…
NAHODHA wa Taifa Stars, Mbwana Samatta, ni mchezaji halali wa Aston Villa inayoshiriki Ligi Kuu England na tayari ameanza kazi kwenye kikosi hicho. Aston Villa…
SVEN Vanderboeck raia wa Ubelgiji, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa wachezaji wake wanashindwa kutumia nafasi wakiwa ndani ya 18 jambo ambalo linawapa ugumu kupata…
JAFARY Manganga, Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa mashabiki wajitokeze kwa wingi Uwanja wa Uhuru kuipa sapoti timu hiyo itakapomenyana na Mtibwa Sugar.Azam FC…
KOCHA Mkuu wa Mtibwa Sugar, Zuber Katwila amesema kuwa timu ya Sahare Stars ipo vizuri na ikipambana itafikia malengo iliyojiwekea. Sahare iliwanyoosha Mtibwa Sugar kwenye…
BALAA walilokutana nalo Yanga ni kupigwa faini ya shilingi milioni 2.7 kutoka kwa Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi (Kamati ya saa 72) iliyokaa…
BERNARD Morrison, nyota mpya wa Yanga amesema kuwa ataendelea kutoa burudani kwa mashabiki bila kuchoka kwani ni kitu anachokifikiria muda wote.Morrison amecheza mechi mbili na…
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa timu ya Namungo amesema kuwa wachezaji wake wamejitahidi kucheza mbele ya Simba licha ya kufungwa mabao 3-2. Namungo iliyo nafasi…
UONGOZI wa timu ya Arusha umesema kuwa makosa waliyofanya kwenye mchezo dhidi ya Gwambina FC hayajatajirudia tena kwenye mechi yao inayofuata dhidi ya Pamba FC…
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa leo utapambana kupata pointi tatu mbele ya Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa UwanjaUhuru. Ofisa Habari…