VPL: SIMBA 0-0 NAMUNGO
Dakika ya 15 Namungo wanapiga kona ya kwanza Dakika ya 14 Kapombe anakosa nafasiDakika ya 13 Ajibu anapiga kona haizai matundaDakika ya 11 Namungo wanaoteaDakika ya…
Dakika ya 15 Namungo wanapiga kona ya kwanza Dakika ya 14 Kapombe anakosa nafasiDakika ya 13 Ajibu anapiga kona haizai matundaDakika ya 11 Namungo wanaoteaDakika ya…
Kikosi cha Simba kitakachocheza dhidi ya Namungo FC
KIKOSI cha Namungo, Kitakaochoanza leo dhidi ya Simba, Januari, 29, Uwanja wa Taifa
HASSAN Bumbuli, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wamemuita mlinda mlango wao, Ramadhani Kabwili baada ya kuwatuhumu baadhi ya viongozi wa Simba kuwa walitaka kumpa…
MWAKA 2019 umeshameguka na sasa tupo mwaka 2020, leo ni Januari,29. Haya hapa ni matukio ya StarTimes 2019:- Tangu kuingia katika soko la Afrika Mwaka…
JONAS Mkude, kiungo wa Simba ambaye amedumu kwa muda mrefu amesema kuwa leo ndani ya Uwanja wa Taifa wana kazi moja tu ya kutafuta pointi…
UONGOZI wa Simba leo ukiongozwa na Mtendaji Mkuu, Senzo Mbatha, leoumeytia timu Bungeni, Dodoma.Simba ipo kwenye mchakato wa kuzindua matumizi ya kadi za mashabiki.Saa 4…
CHAMA cha mpira wa Kikapu Marekani (NBA) kimeahirisha mchezo wa Ligi ya NBA kati ya Los Angeles Clippers uliopangwa kufanyika usiku wa kuamkia leo Jumatano…
MOHAMED Salah, mshambuliaji wa Liverpool,aametupia jumla ya mabao 11 kwenye Ligi Kuu England msimu huu wa 2019/20.Ana wastani wa kufunga kila baada ya dakika 155…
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wachezaji wake wawili ambao ni Ditram Nchimbi na Feisal Salum waliomba msamaha kwa kutimka kambini bila kuaga.…