Latest Posts

KICHUYA ATIBUA HALI YA HEWA SIMBA

SHIZA Kichuya mzee wa kona bao, ametibua hali ya hewa Simba kutokana na uwezo anaozidi kuonyesha kwenye mazoezi ya timu yake hiyo kiasi cha kuwatisha…

MORRISON APEWA MAAGIZO YANGA

Kocha Mkuu wa Yanga, Mbelgiji, Luc Eymael, amesema kuwa hapendi kuzungumzia uwezo wa mchezaji mmojammoja wa timu yake lakini kiwango ambacho amekionyesha kiungo mshambuliaji Mghana…

YANGA KUISHUSHA SIMBA KILELENI

KIUNGO mchezeshaji fundi Mnyarwanda, Haruna Niyonzima ‘Fabregas’ amewatoa hofu mashabiki wa Yanga na kuwasisitiza wazibeze kejeli za Simba. Staa huyo mwenye mapenzi na Yanga, amesisitiza…

KAKOLANYA AWEKA AHADI SIMBA

MLINDA mlango namba mbili wa Simba, Beno Kakolanya amesema kuwa kwa sasa anataka kuweka rekodi mpya ndani ya Simba kwa kucheza mechi bila kuruhusu mabao…

FA: SIMBA 0-0 MWADUI FC

Kipindi cha Kwanza: Simba 0-0 MwaduiUwanja wa UhuruKombe la Shirikisho hatua ya 32 BoraDakika ya 20 Dilunga anafanya jaribio ndani ya 18 akiwa na mabeki…