ZAHERA AIBUA JINGINE LILILOKUWA LIMEFICHIKA BAINA YAKE NA YANGA
Kocha wa zamani ya klabu ya Yanga, Mwinyi Zahera ameeleza sababu nyingine iliyopelekea kuachana na timu hiyo kuwa ni ujio wa kocha Charles Boniface Mkwasa.…
Kocha wa zamani ya klabu ya Yanga, Mwinyi Zahera ameeleza sababu nyingine iliyopelekea kuachana na timu hiyo kuwa ni ujio wa kocha Charles Boniface Mkwasa.…
Kutua kwa nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta katika kikosi cha Aston Villa, kunaambatana na neema nyingi, ikiwemo mshahara wake kupanda kwa zaidi ya mara…
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Wallace Karia amempongeza Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta kwa kufanikiwa kujiunga na Timu ya Aston…
Ratiba ya mechi zijazo za Yanga katika mashindano ya Kombe la FA pamoja na Ligi Kuu Tanzania Bara.
USIKU wa kuamkia juzi uliweza kuweka historia nyingine katika anga la mchezo wa soka Tanzania kufuatia nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania, Mbwana Samatta…
Mshambuliaji mpya wa Aston Villa, Mbwana Samatta ameanza rasmi mazoezi na kikosi chake kipya. Samatta ameanza mazoezi na kuandika rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza…
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa kikubwa kilichowapa ushindi jana mbele ya Mwadui FC ni kujituma kwa wachezaji.Azam FC jana ilishinda bao 1-0 mbele ya…
SVEN Vanderbroeck, Kocha Mkuu wa Simba ametugua mtego wa dakika 180 kwa mechi mbili za kanda ya ziwa. Simba imecheza mechi mbili ambazo ni sawa…
IDD Cheche, Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa kazi kubwa nyingine iliyopo mkononi mwao ni kutetea taji lao la Kombe la Shirikisho ambalo lipo…