Latest Posts

SUALA LA KUCHEZEA WANAWAKE, DIAMOND APEWA ONYO

WAKATI lile penzi shatashata la staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na mzazi mwenzake, Tanasha Donna Oketch, likidaiwa kupumulia mashine, jamaa huyo ameonywa.…

KOCHA YANGA AGEUKA MBOGO KWA WACHEZAJI

Kocha wa Yanga, Luc Eymael amewacharukiwa wachezaji wa kikosi hicho baada ya kushindwa kutumia nafasi walizotengeneza kupata mabao ya haraka ambayo yangewatoa mchezoni wapinzani wao.…