MTOTO WA TAMBWE AIKATAA TIMU YA KARIAKOO
AMISSI Tambwe ni mmoja kati ya washambuliaji wenye rekodi na historia kubwa katika Ligi Kuu Bara kwa kipindi cha miaka sita aliyocheza ligi hiyo kutokana…
AMISSI Tambwe ni mmoja kati ya washambuliaji wenye rekodi na historia kubwa katika Ligi Kuu Bara kwa kipindi cha miaka sita aliyocheza ligi hiyo kutokana…
Uongozi mpya wa Klabu ya Yanga ulioingia madarakani chini ya mwenyekiti wake, Mshindo Msolla na makamu wake, Frederick Mwakaleba umefanikiwa kukusanya shilingi 3,935,000,000 ndani ya…
Mechi ya kirafiki baina ya Yanga na Pamba SC imemalizika kwa timu hizo kutoka sare ya mabao 1-1. Mechi hiyo kwa Yanga imekuwa ni sehemu…
Dak ya 3, Kabwili ameanza leo, anawaanzishia wenzake kuanzisha mashambulizi upya, ni baada ya kuwa golikiki.Dak ya 1, Pamba wamefanya shambulizi la hatari langoni mwa…
MICHUANO ya Gofu ya Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (NMB CDF Cup 2019), imeanza rasmi jana na inatarajiwa kufungwa leo kwenye Viwanja vya Lugalo,…
LEO Pamba inawakaribisha Yanga mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu Bara wakiwa wametwaa ubingwa huo mara 27. Jeshi la Yanga litakaloanza leo hili hapa :-
Kocha wa zamani wa Simba, Muingereza, Dylan Kerr, amefikwa na mama yake mzazi.Kerr ameeleza kuwa mama yake alikuwa akiumwa kwa muda mrefu na ndicho kilichopelekea…
Bingwa mara mbili wa mbio za mita 800 kwenye michezo ya Olimpiki, Caster Semenya (28) ameanza kujiandaa kwa maisha mapya nje ya riadha baada ya…
Ifisa Mtendaji mpya Simba, Senzo Mazingisa, ametambulishwa leo jijini Dar es Salaam na Crescentius Magori anayemaliza muda wake.Baada ya utambulisho huo, Magori amesema Mazingisa ataanza…
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta amefichua kuwa alitamani kuona timu yake inapangwa na klabu ya Barcelona au Real Madrid katika michuano ya Ligi…