STARS WAONDOKA KIBABE KUWAFUATA BURUNDI KWAO
Wachezaji wa Timu ya Taifa wameondoka leo asubuhi Septemba 3, 2019 kuelekea nchini Burundi kwenye mchezo wa kutafuta tiketi ya kufuzu Kombe la Dunia 2022…
Wachezaji wa Timu ya Taifa wameondoka leo asubuhi Septemba 3, 2019 kuelekea nchini Burundi kwenye mchezo wa kutafuta tiketi ya kufuzu Kombe la Dunia 2022…
Uongozi wa klabu ya Simba kupitia Ofisa Habari wake Haji Manara, umewataka mashabiki wake kuipa sapoti Zesco United watakapocheza dhidi ya Yanga kwenye mechi ya…
Safari ya kusaka ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2019/20 ilianza rasmi Agosti 24,mwaka huu katika viwanja tofauti. Na utamu zaidi katika safari umenogeshwa…
Patrick Aussems amewapiga biti wachezaji wa kikosi hicho kwa kuwaambia hataki kuona wakicheza mpira wa shoo badala yake anataka kuwaona wanafunga mabao ya kumwaga. Simba…
Katika kuelekea mchezo wao wa Raundi ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Kocha Mkuu wa Yanga Mkongomani, Mwinyi Zahera, juzi Jumamosi alitumia dakika 50…
Kimu Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Etienne Ndayiragije amewaambia Warundi kuwa yupo kazini, hivyo wasitarajie huruma yoyote kutoka kwake.Ndayiragije ambaye…
PATRICK Aussems, ameshusha breki leo na kuwaacha wachezaji wake wapumzike kwa muda kabla ya kurejea kazini.Simba leo wameanza mapumziko yao ambayo yatadumu mpaka Alhamisi na…
MWINYI Zahera, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kupoteza kwake mchezo mbele ya Ruvu Shooting ni sehemu ya maisha ya soka hivyo mashabiki wasiwe na…
ABDALAH Panzi, maarufu kama ‘Dulla Mbabe’ leo amerejea ardhi ya Bongo na kupokelewa na umati wa mashabiki ambao walijitokeza uwanja wa ndege wa Kimataifa wa…
Dondoo za mkutano wa jana Baina ya Matawi na Mwenyekiti wa klabu Mshindo MsollaMkutano ulikua na lengo moja kuhamasisha amani na umoja ndani ya Yanga…