MBASHA AANIKA HISIA ZAKE LIVE KWA FAIZA ALLY BAADA YA KULIA KISA SUGU, AMTAKA AENDE KWAKE
“Mwanamke mrembo sana huyu lakini kavimba macho kwa ajili ya kumlilia mwanaume asiyemtaka. “Dah! Faiza kwanini ung’ang’anie mtu asiyekutaka wakati sisi tunaokupenda tupo hapa? Yaani unavyolia…