WATU WAENDELEA KUCHOTA MKWANJA NDANI YA SPORTPEA, CHALII AONDOKA NA MILIONI 6 NA USHEE
Mkazi wa Arusha, Bw. Gidion Siuhi Irumba akikabidhiwa mfano wa hundi ya shilingi 6,233,934 baada ya kubashiri kwa usahihi mechi 11 kati ya 13 kwenye Jackpot ya wiki iliyopita…