Uncategorized

REAL MADRID WASITISHA DILI LA BALE KUTIMKIA CHINA

admin July 29, 2019 8:20 am

GARETH Bale bado yupoyupo ndani ya Real Madrid kutokana na uhamisho wake wa kujiunga na klabu tajiri ya China Jiangsu Suning kupotezewa.

Bale alikuwa anahitajika na klabu hiyo ya China ambayo ilipanga kumpa mshahara mkubwa kuliko timu ndani ya China.

 Bale alitarajiwa kujiunga na Jiangsu Suning kwa mshahara wa Pauni milioni moja ambazo ni sawa na Sh bilioni 2.8 za Tanzania.

Mabosi wa Real Madrid wamesitisha dili hilo kwa kuwa wanataka kulipwa fedha nyingi za uhamisho kwa nyota huyo ambaye kwa sasa hana maelewano mazuri na meneja wa Madrid, Zinadine Zidane.

NAHODHA STARS ABEBA MATUMAINI YA KUTOSHA KUFUZU CHAN KOCHA ZAHERA ASITUMIKE KAMA FIMBO YA KUIADHIBU YANGA KUWAFAIDISHA WACHACHE

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6131

Leave a Reply