HAYA NDIYO MAKOMBE 40 YA NYOTA WA TIMU YA TAIFA YA BRAZIL ALVES
Dani Alves ametwaa jumla ya makombe 40 tangu aanze kucheza mpira mia ka 18 iliyopita. Nyota huyo anayekipiga Paris Saint German raia wa Brazil alianzia…
Dani Alves ametwaa jumla ya makombe 40 tangu aanze kucheza mpira mia ka 18 iliyopita. Nyota huyo anayekipiga Paris Saint German raia wa Brazil alianzia…
GADIEL Michael sasa rasmi ni mchezaji wa Simba akitokea Yanga ambapo amesaini kandarasi ya miaka miwili.Gadiel anaungana na wachezaji wenzake wawili na kufikisha jumla ya…
Hivyo ndivyo unavyoweza kusema, hali ya mambo ilivyo hivi sasa huko mitaani baada ya timu za Simba na Yanga kuwa mbioni kuhitimisha usajili wake.Hata hivyo,…
Klabu ya Difaa Al Jadid ya Morocco ambayo anaichezea Mtanzania, Simon Msuva ina mpango wa kumsajili kiungo wa Azam FC, Mudathir Yahaya.Kiungo huyo ni mmoja…
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa umeanza maandalizi ya Ligi mapema ili kuandaa kikosi kitakacholeta ushindani msimu ujao. Akizungumza na Saleh Jembe, Makamu Mwenyekiti wa Yanga,…
BAADA ya kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania kilicho chini ya nahodha Mbwana Samatta kufungasha virago kwenye michuano ya Afcon inayoendelea nchini Misri na…
MABINGWA watetezi Azam FC leo watakuwa kazini kumenyana na KCCA kwenye michuano ya Kagame inayoendelea nchini Rwanda.Mchezo wa kwanza Azam FC walipata ushindi wa bao…
KIKOSI cha Namungo FCMakipaAdamu OsejaLucas ChembejaWalinziMizar KristomAlly KoroshoJukumu KibandaFaisal Mganga Hamisi Mgunya Paul NgalemaCarlos Protus ViungoHamisi Nyenye John MbiseDaniel Joram Ben Silvester Jamal Dulaz Steve Nzigamasabo Lukas Kikoti Selemani Bwenzi WashaambuliajiReliants Lusajo Abeid AthumaniJohn KelvinBigirimana Blaise Sina…
UONGOZI wa KMC umesema kuwa leo utapambana kupata matokeo chanya mbele ya TP Mazembe kwenye mchezo wa pili wa michuano ya Kagame.Akizungumza na Saleh Jembe,…