Home Authors Posts by Marce Ben Komba

Marce Ben Komba

659 POSTS 0 COMMENTS
Content Creator | Web Specialist Certified by Google | Digital Marketing Officer Certified by Google | Creative Graphic Designer Certified by California institute of the arts | SEO Expert Certified by Hubspot Contact marcekomba@gmail.com

KUMBE SIMBA YAONDOKA DAR…YAELEKEA KULEKULE…YANGA WAJIANDAE

0
Kikosi cha Simba, chini ya Kocha Abdelhak Benchikha kinatarajia kuondoka leo kwenda Zanzibar kwa ajili ya kambi ya siku tatu kujiandaa na mchezo wa...

SHABIKI SIMBA:- HATUWEZI KUIFUNGA YANGA…TUNAKWENDA KUDHALILIKA…TUTAKULA KIPIGO KIZITO

0
Shabiki kindakindaki wa Klabu ya Simba, Mzee Mchachu amesema kuwa hatokwenda kwenye mchezo wa dabi dhidi ya watani zao Yanga Sc kwani anaamini kabisa...

ALLY KAMWE:- MECHI YETU NA SIMBA TUMEIITA WAZEE DAY…AMEFUNGUKA HAYA

0
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Yanga Ali Kamwe amesema wameliita pambano lao na Simba SC jina la Wazee Day. Yanga SC wamekuwa...

GAMONDI AGEUKA MBOGO…MASTAA HAWA BYE BYE YANGA…MKUDE ATAENDELEA KUWEPO

0
Taarifa kutoka ndani Young Africans ni kwamba kocha mkuu wa timu hiyo, Miguel Gamondi kawasilisha mapema ripoti kwa mabosi wa klabu hiyo ikiwa ni...

AHMED ALLY:-TUMEPITIA WAKATI MGUMU WIKI MBILI HIZI…TUNAKWENDA KUMFUNGA MTANI….AFUNGUKA HAYA

0
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally amesema kuwa timu hiyo inapitia wakati mgumu ndani ya wiki mbili baada ya...

KAMWE AWACHANA MASHABIKI YANGA…SIMBA WAHUSISHWA…AMEFUNGUKA HAYA

0
Ofisa Habari wa Klabu ya Yanga, Ally Kamwe amesema kuwa wao kama Yanga wanaichukulia Simba SC kama timu tishio kwenye Ligi ya Tanzania na...

KAMWE:- SIMBA INA UONGOZI MAKINI NA IMARA…TUTAINGIA CHAKA…AWAPIGIA SALUTI WACHEZAJI SIMBA

0
Ofisa Habari wa Klabu ya Yanga, Ally Kamwe amesema kuwa wao kama Yanga wanaichukulia Simba SC kama timu tishio kwenye Ligi ya Tanzania na...

UCHAGUZI WAITIKISA SIMBA SC…WANACHAMA WAMCHAGUA MWENYEKITI….MATABAKA YAZALIWA

0
Kinachoendelea Simba leo ni matokeo mchakato wa uchaguzi Mkuu uliopita. Uchaguzi ambao ulikuwa na makundi makuu mawili, kundi la waliokuwa wanamuunga mkono Wakili Karua na...

FAHAMU SIRI HII NZITO…ILIYOJIFICHA KWENYE MAFANIKIO YA YANGA…TIMU ILIKUWA HAINA MWENYEWE

0
Yanga kufanya vizuri ndani na nje ya nchi hakutokei kama bahati, ni mipango, uwekezaji, umoja na utulivu walionao kwa sasa kama klabu. Kwa sasa Yanga...

SIMBA BADO INA NAFASI KUBWA MBIO ZA UBINGWA…YANGA WAJIPANGE KWA HILI

0
Simba haijafanya vibaya kama ambavyo inazungumzwa, imetolewa kwenye Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ambayo imekuwa kikwazo kwao kwa misimu kadhaa mfululizo. Kwenye...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS