Friday, March 29, 2024
Home Authors Posts by Marce Ben Komba

Marce Ben Komba

544 POSTS 0 COMMENTS
Content Creator | Web Specialist Certified by Google | Digital Marketing Officer Certified by Google | Creative Graphic Designer Certified by California institute of the arts | SEO Expert Certified by Hubspot Contact marcekomba@gmail.com

MANE ATUPIWA VILAGO BAYERN…DUUH!! APIGWA FAINI HII…KISA KITASA ALICHOMPIGA SANE

0
Baada ya kumtoza faini ya €300K (Tshs. Milioni 772) kwa kitendo cha kumpiga Leroy Sane, Klabu ya Fc Bayern Munich wanafikiria kumuuza Sadio Mane...

“KANOUTE ANASUMBULIWA NA NYONGA…SIMBA WASHINDWA KUVUMILIA WAFUNGUKA HAYA

0
Wekundu wa Msimbazi Simba SC, wameeleza kilichomfanya nyota wao Sadio Kanoute akosekane kwenye mchezo wa dabi dhidi ya Yanga SC pamoja na mechi nyingine...

ULE MGOLI WA INONGA UMEANDIKA REKODI HII…UMEVUNJA REKODI YA OKWI

0
BAO la kwanza lililofungwa jana na beki wa kati Henock Inonga, limeingia kwenye rekodi ya mabao ya haraka kufungwa kwenye Kariakoo Derby, akifuata nyayo...

KISA AZAM TV KOCHA LIGI KUU AFUNGIWA…APIGWA FAINI…ISHU NZIMA IKO HIVI

0
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imemtoza faini ya shilingi milioni 1 Kocha Msaidizi wa Ruvu Shooting FC, Renatus Shija kwa kosa la kukataa...

HUYU HAPA MWAMUZI WA KIKE…ALIYEANDIKA REKODI YA HATARI…KARIAKOO DABI

0
Jonesia Rukyaa ndiye mwamuzi wa kwanza kuchezesha derby mbili ndani ya siku 25 katika msimu mmoja huku mmoja ukichezwa Uwanja wa Uhuru na mwingine...

HII HAPA REKODI YA SIMBA NA YANGA…HAIJAVUNJWA KWA MIAKA 45…MSUVA NA...

0
Kama utani imetimia miaka 45 sasa tangu mchezaji mmoja alipofanikiwa kufunga magoli matatu 'hat-trick' kwenye Dabi ya Kariakoo. Ilifungwa na Abdallah 'King' Kibadeni mwaka 1977....

YANGA KILICHOWAPONZA NI DHARAU…MTAPIGWA NYINGI NA RIVERS

0
Mechi ya Watani imeamuliwa na saikolojia ya wachezaji, nyuso za wachezaji wa Simba walikuwa na shauku kubwa sana ya kudhihirisha kitu mbele ya wapenzi...

MAYELE AMPA MAMILIONI KIPA SIMBA…KISA INONGA NABI ACHARUKA YANGA

0
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania April 18, 2023,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazeti

HUYU HAPA MCHEZAJI WA KWANZA…KUTOKA YANGA KWENDA SIMBA…OKWI,TAMBWE,MORRISON WANASUBIRI

0
JANA Aprili 16, 2023 ilikuwa dabi ya Kariakoo. Miaka 40 iliyopita tarehe kama hiyo, Simba ilikubali kichapo cha mabao 3-1. Ndio ilikuwa ni Aprili 16,...

YANGA YAKAMILISHA USAJILI HUU…”HII NI ZAWADI KWA MASHABIIKI WETU

0
Tuliahidi na tumetimiza Na hii ndio zawadi ya Iftar kwa Wananchi! Hii ni kauli ya Klabu ya Yanga baada ya kutangaza kumuongezea mkataba beki wao,...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS