Home Authors Posts by Marce Ben Komba

Marce Ben Komba

634 POSTS 0 COMMENTS
Content Creator | Web Specialist Certified by Google | Digital Marketing Officer Certified by Google | Creative Graphic Designer Certified by California institute of the arts | SEO Expert Certified by Hubspot Contact marcekomba@gmail.com

GAMONDI:- “KATIKA MAISHA USIJIAMINISHE SANA…BADO TUNA GEPU KUBWA…AMEFUNGUKA HAYA

0
Kocha Mkuu wa Young Africans SC, Miguel Gamondi, amefunguka kwamba, suala la ubingwa kwa sasa ni mapema kuzungumzia, licha ya kwamba tuna nafasi kubwa...

SAKATA LA PRINCE DUBE NA AZAM LINAVYOTAKA KULETA AIBU KWENYE...

0
Kuna vitu vinakera sana. Kuna vitu vinakwaza mno Unajiuliza mpaka sasa katika dunia ya leo bado tunaishi katika zama za kale. Ni kama hili tukio...

KARIAKOO DABI YAWAPA SAPRAIZI HII GAMONDI NA BENCHIKHA…WABAKI MIDOMO WAZI

0
Unaweza kusema ni kama makocha wa timu zote mbili, Miguel Gamondi wa Yanga na Abdelhak Benchikha wa Simba wamekutana na sapraizi, baada ya kulazimika...

KUMBE PACOME ALIMLILIA GAMONDI KABLA YA DABI…BOSS YANGA AFUNGUKA ISHU NZIMA...

0
Kumbe Saa chache kabla ya Yanga kuanza safari ya kwenda uwanjani kiungo wa timu hiyo amewasilisha maombi kwa kocha wake ampe hata dakika 20...

KUMBE YANGA WALIFANYA HAYA KUIFUNGA SIMBA…KIBADENI ANYOOSHA MIKONO JUU

0
NJAA YA MAFANIKIO Yanga ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara na ndiyo mabingwa wa kihistoria wa taji hilo waliloshinda mara 29, Simba yenyewe imelichukua...

KAKOLANYA AGOMEA WITO WA KAMATI YA NIDHAMU SINGIDA BS…HAMNITTENDEI HAKI ISHU...

0
Siku chache baada ya Kamati ya Nidhamu ya Singida Fountaine Gate kumuandikia barua kipa wao, Beno Kakolanya kwa ajili ya kujibu tuhuma zinazomkabili za...

FIGISU ZATAWALA SOKA LA AFRIKA…TIMU YAFANYA MAZOEZI AIRPORT…YAZUILIWA KUTOKA UWANHANI

0
Kikosi cha timu ya RS Berkane kimelazimika kufanya mazoezi yao katika Uwanja wa Ndege nchini Algeria baada ya kuzuiliwa kutoka katika uwanja huo. Pichani...

AZIZ KI AWEKA REKODI HII LIGI KUU…AMPIGA KO HII CHAMA…TAKWIMU ZOTE...

0
Kuelekea Mchezo wa kesho Jumamosi, Aprili 20, 2024 wa Dabi ya Kariakoo kati ya Yanga dhidi ya Simba, ni viungo pekee ndio wenye magoli...

KUMBE ISHU YA DUBE IPO HIVI…KULIPA FAINI SH M810 ILI KUONDOKA...

0
Hukumu ya shauri la mshambuliaji Mzimbabwe PRINCE DUBE wa Azam FC inatarajiwa kutolewa baada ya kusikilizwa . Dube aliwakishwa na Wakili aliyeiwakilisha Yanga SC kwenye...

RASMI FIFA YATANGAZA…KLABU IKISHIRIKI KOMBE LA DUNIA INAKULA BIL 137…TIMU HIZI...

0
Rasmi Shirikisho la mpira wa miguu duniani (FIFA) limeweka wazi kuwa kila klabu itakayoahiriki mashindano ya kombe la dunia kwa ngazi ya vilabu itapata...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS