Latest Posts

GAMONDI AWAAMSHIA MABEKI YANGA KISA HIKI HAPA

Wakati Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans wakitarajia kuchuana na Al Merrikh keshokutwa Jumamosi (Septemba 30), Kocha Miguel Gamondi, amewataka mabeki wake kuongeza umakini…

KARIA AIBWAGA SIMBA KAMA MASIHARA

Unahitaji muda sana kuuelewa mpira wetu. Una njia zake. Unajiendesha kivyake vyake. Nigumu sana kumpata Mtanzania ambaye sio shabiki wa Yanga wala Simba. Ni vigumu…

Habari za Simba leo

KUHUSU HALI YA INONGA DAKTARI AFUNGUKA HAYA

Imeelezwa kuwa Beki kutoka DR Congo Henock Inonga Baka, anatarajia kurejea dimbani mapema zaidi ya ilivyodhaniwa, kufuatia jeraha lake kuendelea vizuri. Daktari wa klabu hiyo,…

Habari za Michezo

ALIYMBEBA MAYELE ATAKIWA HUKU

Kocha wa Klabu ya Pyramids ya Misri anayoichezea Fiston Mayele, Mreno Jaime Pacheco ameripotiwa kutakwa na klabu ya Marseille ya Ufaransa ambayo kwa sasa haina…

WAHI CHAP PESA ZIPO HUKU NA MERIDIAN BET

Nani kukupa pesa Carabao? Je ni Chelsea, Manchester United, City, Westham au West Ham? Ingia Meridianbet sasa ubashiri na mabingwa hawa wa ODDS KUBWA Tanzania.…