Habari za michezo
UJIO WA AFCON SIMBA YAHUSISHWA…. ISHU IKO HIVI
Staff Desk
September 28, 2023
10:38 am
Mchambuzi wa masuala ya uchumi Scanda ameelezea sababu shawishi zilizosaidia kuitangaza Tanzania kiasi cha CAF kushawishika kwenye hii pamoja Bid 2027 kuandaa AFCON.
Mchambuzi huyo amesema katika hilo, Simba wana mchango mkubwa.
βYote haya yaliyotokea lazima tuipongeze Simba, zile Kwa Mkapa hatoki mtu zimetusaidia sana kututangaza.
βMbali na hayo Matamasha ya Simba Day na Mwananchi nayo pia yametutangaza sana, CAF wanataka kuona ile atmosphere ya mashabiki kujaa viwanjani, mara zote haya Matamasha mashabiki huwa wanajaa Elfu 40 hadi Elfu 60,” alisema.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.