SURE BOY ASEPA NA TUZO YA OKTOBA

0

 KIUNGO mshambuliaji wa Klabu ya Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy', amefanikiwa kutwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Azam FC Oktoba, 2020.Sure Boy ametwaa tuzo hiyo akiwazidi wachezaji wenzake, beki Bruce Kangwa, kiungo mkabaji Ally Niyonzima, washambuliaji Obrey Chirwa na Prince Dube.Nyota huyo amekabidhiwa tuzo hiyo na Sheikh Twalib, kabla ya kuanza kwa mchezo kati ya Azam FC na...

MSIMAMO WA LIGI KUU BARA UPO NAMNA HII

0

 MSIMAMO wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa sasa Azam FC ipo nafasi ya kwanza baada ya kushinda mabao 3-0 dhidi ya Dodoma Jiji, jana Novemba 5 Uwanja wa Azam Complex ikiishusha Yanga.

MANCHESTER UNITED YAKUBALI KUMUUZA POGBA

0

IMERIPOTIWA kuwa uongozi wa Klabu ya Manchester United kwa sasa upo tayari kumuuza kiungo wake Paul Pogba raia wa Ufaransa msimu ujao ili akatumike ndani ya Klabu ya Real Madrid inayoshiriki La Liga.Nyota huyo wa timu ya Taifa ya Ufaransa mwenye miaka 26 amekuwa kwenye kiwango cha chini ndani ya Unted chini ya Kocha Mkuu Ole Gunnar Solksajer ambaye inaelezwa...

WAWILI WASEPA NA TUZO AFRIKA KUSINI MASHINDANO YA Cosafa

0

 NYOTA wawili Watanzania ikiwa ni mmoja kutoka Timu ya Taifa ya Tanzania ya U 17 na mmoja kutoka Twiga Stars wameibuka na tuzo mbili nchini Afrika Kusini ambapo Mashindano ya Baraza la Vyama vya Soka Kusini mwa Afrika (Cosafa) yanaendelea.Miongoni mwa nyota hao ni nahodha wa Timu ya Taifa U 17 Irene Kisisa ambaye ametwaa tuzo hiyo baada ya...

ORODHA YA NYOTA 27 WA TIMU YA TAIFA ILIYOITWA NA KOCHA MKUU NDAYIRAGIJE

0

 HII hapa Orodha ya wachezaji 27 wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars walioitwa na Kocha Mkuu Etiene Ndayiragije kwa ajili ya maandalizi ya mchezo dhidi ya Tunisia wa kuwania kufuzu fainali za mataifa ya Afrika,(Afcon).Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Novemba 13, Uwanja wa Mkapa.Makipa wanneJuma Kaseja (KMC)Aishi Manula (Simba)Metacha Mnata (Yanga)David Kissu (Azam FC)MabekiShomari Kapombe (Simba)Mohamed Hussein (Simba)Erasto...

KIBARUA CHA KOCHA MANCHESTER UNITED MASHAKANI

0

 KIBARUA  cha Kocha wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer, huenda kikaota nyasi kutokana na mfululizo wa matokeo yasioridhisha.  Hatua hiyo inakuja  ikiwa baada ya kutoka kupokea kichapo cha mabao 2-1  dhidi ya Istanbul Basaksehir kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya. Gazeti la The Mail limeripoti kuwa mabosi wa United wameanza mazungumzo na aliyekuwa kocha wa Totenham Hotspurs, Mauricio Pochettino,...

WAKATI CARLINHOS AKIIKOSA SIMBA, NIYONZIMA AREJEA

0

 KIUNGO Mshambuliaji wa Yanga, Carlos Carlinhos anatarajia kuukosa mchezo wa dabi ya Simba na Yanga utakaochezwa kesho huku kiungo Haruna Niyonzima, akirejea kwa nguvu kuwavaa watani wao hao. Carlinhos aliumia kisigino katika mazoezi yaliyofanyika hivi karibuni kwenye kambi ya timu hiyo AVIC Town iliyopo Kigamboni jijini Dar kulikosababisha akose michezo minne dhidi ya Polisi Tanzania, KMC, Biashara United na Gwambina. Aidha...

ISHU YA VIPIGO VIWILI ILIWAVURUGA KWELI SIMBA

0

 JONAS Mkude, kiungo mkabaji ndani ya Klabu ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu Sven Vandenbroeck, amesema kuwa vipigo viwili walivyopata kwenye mechi zao za ligi kuliwavuruga kwani walijipanga kupata ushindi. Simba imeweka rekodi kwa kuwa timu ya kwanza kupokea vichapo viwili mfululizo kwa timu zilizo ndani ya tatu bora msimu wa 2020/21.Kwenye msimamo Simba ipo nafasi ya tatu ikiwa na...

MTIBWA SUGAR YAPANIA KUFANYA MAKUBWA 2020/21

0

 THOBIAS Kifaru, Ofisa Habari wa Mtibwa Sugar amesema kuwa wana imani ya kufanya vizuri ndani ya Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2020/21 kutokana na maandalizi yao kuwa makini.Akizungumza na Saleh Jembe, Kifaru amesema kuwa wana kikosi kizuri chenye wachezaji bora ambao wamesajiliwa ndani ya kikosi hicho chenye ngome yake mkoani Morogoro kwenye mashamba ya miwa."Tupo imara kwa msimu...

YANGA: TUNAUTAKA UBINGWA WA LIGI KUU BARA

0

 KIUNGO wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’, amesema kuwa malengo yao wakiwa ni wachezaji msimu huu ni kuhakikisha wanaipatia ubingwa timu hiyo. Yanga msimu huu imeanza ligi kwa kishindo ikiwa ni timu pekee ambayo haijapoteza mchezo hata mmoja kati ya michezo tisa waliyocheza ambapo wameshinda michezo saba na kutoa sare  mbili dhidi ya Tanzania Prisons na Gwambina FC. Fei Toto amesema kuwa msimu...