ARSENAL YAFIKIRIA KUMSHAWISHI AUBAMEYANG ABAKI KIKOSINI

0

ARSENAL imeanza mchakato wa kufanya mazungumzo na mshambuliaji wao namba moja Pierre Emerick Aubameyang ili kumuongezea mkataba mpya ndani ya kikosi hicho.Mkataba wa Aubameyang unameguka mwishoni mwa msimu ujao na hakujawa na mazungumzo yoyote kuhusu yeye kubaki ama kuondoka ndani ya timu hiyo na Arsenal haitaki kumuuza kwa sasa licha ya kuwa iwapo hatasaini dili jipya anaweza kuondoka bure.Majukumu...

SIMBA YAIPIGA BAO YANGA KWA BEKI KISIKI, NDANI YA CHAMPIONI JUMATANO

0

MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatano,  lipo mtaani jipatie nakala yako

HESABU ZA SIMBA KUSEPA NA UBINGWA ZIMEKAA NAMNA HII

0

SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa hesabu kubwa ni kuona anaiongoza timu hiyo kusepa na taji la Ligi Kuu Bara kwa kushinda mechi zake tano za mwanzo.Ikiwa Simba itasepa na ushindi kwenye mechi tano itavuna pointi 15 na kufikisha pointi 86 ambazo haziwezi kufikia na timu yoyote ndani ya ligi kwa sasa ina pointi 71.Ligi Kuu Bara...

HIVI HAPA VIGONGO 11 VYA YANGA NDANI YA LIGI KUU BARA, RATIBA YAKE

0

KLABU ya Yanga ina mechi 11 kibindoni ambazo imebakiza ili kuamliza mzunguko wa pili wa 2019/20.Juni 13 ligi inarejea rasmi baada ya kusimamishwa na Serikali kutokana na kuibuka kwa janga la Virusi vya Corona.Hivi hapa vigongo vyake:-Juni 13, Mwadui v YangaJuni 17, JKT Tanzania v YangaJuni 21, Yanga v Azam FCJuni 24, Yanga v NamungoJulai 21, Yanga v NdandaJulai...

KIUNGO WA AZAM FC AHOFIA KUWEKA MAZOEZI YAKE KWENYE MITANDAO

0

KHLEFFIN Hamdoun, kiungo mshambuliaji wa Azam FC amesema kuwa alikuwa anafanya mazoezi binafsi wakati wa mapumziko ya dharula yaliyosabbishwa na janga la Virusi vya Corona licha ya kutorusha kwenye mitandao.Kiungo huyo ambaye ni ingizo jipya aliyesajiliwa kwenye dirisha dogo Januari, akitokea Klabu ya Mlandenge ya Zanzibar amecheza mechi moja ya ushindani ndani ya ligi mbele ya Mbeya City."Nilikuwa ninafanya...

SERIKALI YAZUNGUMZIA SIMBA NA YANGA,KESHO NDANI YA CHAMPIONI JUMATANO

0

KESHO ndani ya Gazeti la Championi Jumatano usipange kukosa nakala yako

LALA SALAMA INAKUJA, SASA NI MUDA WA KAZI, TAHADHARI MUHIMU CORONA BADO IPO

0

KINACHOSUBIRIWA kwa sasa  ni muda tu wa kuanza mahesabu ya kile ambacho wachezaji walikuwa wamepanda wakati ule masuala ya michezo yalipokuwa yamesimamishwa kwa muda.Ikumbukwe kwamba Machi 17 masuala yote ya michezo yalisimamishwa na Serikali ya Tanzania kutokana na kuibuka kwa janga la Virusi vya Corona ambalo linaivurugavuruga dunia namna linavyotaka.Haikuwa Tanzania pekee bali dunia nzima ilikuwa kwenye janga la...

WERNER AZIINGIZA VITANI TIMU ZA LIGI KUU ENGLAND NA BUNDESLIGA

0

TIMO Werner, nyota anayekipiga ndani ya Klabu ya RB Leipzig ameziingiza vitani klabu za Manchester United na Liverpool zinazoshiriki Ligi Kuu England pamoja na Bayern Munich inayoshiriki Bundesliga.Mshambuliaji huyo mwenye miaka 24, amekuwa bora msimu huu jambo ambalo linazifanya timu nyingi kupambana kupata saini yake.Werner, raia wa Ujerumani ametupia jumla ya mabao 31 kwenye mashindano yote msimu huu ndani...

MBELEGIJI WA YANGA INAELEZWA KUWA HAJATUMIWA TIKETI KURUDI BONGO

0

IMEELEZWA kuwa Kocha Mkuu wa Yanga, Luc Eymael amesema kuwa anawasiliana na Kocha msaidizi, Boniface Mkwasa ambaye anasimamia timu kwa sasa jambo ambalo halimfurahishi kwa kuwa hajatumiwa tiketi.Eymael aliibukia Ubelgiji baada ya masuala ya michezo kusimamishwa Machi 17 kutokana na janga la Virusi vya Corona.Kwa sasa shughuli za michezo zimeruhusiwa na Serikali ambapo Mei 27 wachezaji wa Yanga waliripoti...

SIMBA KWA SASA HAIPO TAYARI KUONA WACHEZAJI WAKIANZA LIGI, SABABU HII HAPA

0

SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa iwapo ataulizwa kwa sasa kama anaweza kuruhusu timu yake kurejea uwanjani hatakubali kwa kuwa wachezaji wake hawajawa na utimamu wa mwili.Simba imeripoti kambini Mei 27 na kuanza mazoezi kwa ajili ya kujiandaa na mechi za Ligi Kuu Bara pamoja na zile za Kombe la Shirikisho.Ipo nafasi ya kwanza ikiwa na pointi...