SIMBA KUKOSA HUDUMA YA NYOTA WAKE WAWILI JUMLA, WENGINE WAWILI WATEGEMEA MAAMUZI YA SVEN

0

LEO Simba iliyo chini ya Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck itashusha kete yake mbele ya Ruvu Shooting ikiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara.Huu utakuwa ni mchezo wa 29 kwa Simba ambayo ilikuwa imecheza mechi 28 kabla ya masuala ya michezo kusimamishwa kutokana na janga la Virusi vya Corona.Wachezaji wake wote wapo fiti isipokuwa itakosa huduma za wachezaji wake wawili...

PIERRE AUBAMEYANG AONYWA

0

PIERRE Emerick Aubameyang, mshambuliaji wa Arsenal amepewa onyo la kufikiria kutaka kuondoka ndani ya Klabu hiyo inayompa nafasi kwani akifanya hivyo atapotea kwenye ramani ya soka.Imekuwa ikielezwa kuwa Aubameyang ana mpango wa kusepa ndani ya Arsenal huku AC Milan, Real Madrid na Barcelona zikitajwa kuwania saini yake.Ian Edward Wright, mshambuliaji wa zamani wa Arsenal ambaye alicheza msimu wa 1991-98...

BERNARD MORRISON ATAJA SABABU YA KUIKOSA MWADUI FC, SASA KUIBUKIA HUKU

0

BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa ataungana na kikosi Dodoma kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya JKT Tanzania.Morrison aliukosa mchezo wa jana dhidi ya Mwadui FC uliochezwa Uwanja wa Kambarage.Mchezo huo Yanga ilishinda bao 1-0 lililofugwa na Balama Mapinduzi dakika ya sita."Sikuweza kujiunga na kikosi Shinyanga kwa kuwa nilikuwa bado nina maumivu kwenye...

RATIBA YA LEO JUNI 14, LIGI KUU BARA

0

LEO Juni 14 kuna mechi mbili za Ligi Kuu Bara zitachezwa viwanja viwili tofauti kushuhudia ushindani.Miguu ya wanaume 44 itakuwa kazini kusaka pointi tatu muhimu namna hii:- ni Azam v Mbao, Uwanja wa Azam Complex majira saa 1:00.Simba v Ruvu Shooting, Uwanja wa Taifa, Majira ya saa 10:00 jioni.

MENEJA AMUONDOA KIUNGO SIMBA,MOLINGA,MKWASA FRESHI,NDANI YA SPOTI XTRA JUMAPILI

0

MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele gazeti la SPOTI XTRA Jumapili 

MSIMAMO WA LIGI KUU BARA UPO NAMNA HII KWA SASA

0

BAADA ya Mwadui kumenyana na Yanga, Namungo kumenyana na Coastal Union jana, Juni 13 msimamo kwa sasa upo namna hii:-

MATOKEO YA MECHI ZA LEO, VPL

0

Matokeo ya mechi mbili za leo Juni 13 za Ligi Kuu Bara kwenye viwanja viwili tofauti:- Mwadui FC imekubali kuchapwa bao moja kwa bila na Yanga Uwanja wa Kambarage. Bao limefungwa na Balama Mapinduzi dakika ya sitaCoastal Union iliyo chini ya Kocha Mkuu, Juma Mgunda imelazimisha sare ya kibabe ya kufungana mabao  2-2 na Namungo FC, Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

YANGA YAINYOOSHA MWADUI FC BAO MOJA NA KUSEPA NA POINTI TATU

0

YANGA, leo imeibuka na ushindi wa bao 1-0 mbele ya Mwadui FC kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Kambarage, Shinyanga leo Juni 13.Mchezo wa leo ulikuwa na ushindani mkubwa ambapo Yanga ilianza kwa kasi kushambulia lango la Mwadui FC na kupata bao la kuongoza dakika ya sita.Mapinduzi Balama aliifungia Yanga bao hilo dakika yasita akimaliza pasi ya Deus Kaseke.Ushindi huo...