YANGA YAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA BIASHARA UNITED
CEDRIC Kaze, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kikosi chake kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Biashara United.Mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Oktoba 31, utakuwa ni wa tatu kwa Kaze kukaa kwenye benchi baada ya kusaini dili la miaka miwili. Tayari amekaa benchi kwenye mechi mbili na kushuhudia wachezaji wake wakifunga mabao matatu na kufungwa...
MAJEMBE YA KAZI KWA YANGA NA SIMBA YANAYOANDALIWA KWA DABI NOVEMBA 7
ZIMEBAKI siku tisa kwa sasa kabla ya dabi ya Yanga na Simba ambayo inatarajiwa kuchezwa Novemba 7, Uwanja wa Uhuru, tayari Cedric Kaze Kocha Mkuu wa Yanga na Sven Vandenbroeck Kocha Mkuu wa Simba wameanza kuandaa mitambo yao ya kazi.Yanga ambao ni wenyeji kwa sasa wanajiandaa na mchezo dhidi ya Biashara United utakaochezwa Uwanja wa Karume, Oktoba 31 na...
SVEN KWA MKWASA ANAPATA TABU, ATESEKA DAKIKA 270
KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck raia wa Ubelgiji, ameonekana kuteseka kwa dakika 270 ambazo ni sawa na mechi tatu mbele ya kocha mzawa, Charles Boniface Mkwasa.Sven na Mkwasa wamekutana mara nne katika michuano yote na Mkwasa kuonekana kufanya vizuri katika mechi tatu ambapo ameshinda mbili na sare moja, huku akipoteza moja mbele ya Mbelgiji huyo.Mkwasa ambaye kwa sasa...
MBALI NA KUIKOSA YANGA, MECHI NYINGINE AMBAZO MORRISON ATAKOSA HIZI HAPA
NYOTA wa Simba, Bernard Morrison huenda ataukosa mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaoihusu timu yake ya zamani ya Yanga unaotarajiwa kuchezwa Novemba 7, Uwanja wa Uhuru. Morrison mwenye pasi moja ya bao kati ya 14 yaliyofungwa na Simba kwa msimu wa 2020/21, alionekana akimpiga ngumi mchezaji wa Ruvu Shooting, Juma Nyosso kwenye mchezo huo uliopigwa Uwanja wa Uhuru wakati timu...
KOCHA SIMBA ATAJWA KUWA TATIZO LA VICHAPO MFULULIZO
ALIYEWAHI kuwa kocha wa Simba, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amemtaja kocha wa timu hiyo, Sven Vandenbroeck kuwa ndio chanzo cha matokeo mabaya kwenye michezo miwili iliyopita. Simba imepoteza mchezo wa pili mfululizo baada ya awali kufungwa dhidi ya Tanzania Prisons bao 1-0 kisha Ruvu Shooting bao 1-0, ikiwa nafasi ya nne ya msimamo wa ligi ikibaki na pointi zake 13, baada...
KUMBE KAZE ALIKUWA KWENYE HESABU ZA SIMBA
IMEELEZWA kuwa Kocha Mkuu wa Yanga wa sasa, Cedric Kaze alikuwa kwenye hesabu za mabosi wa Simba baada ya kumchimbisha Patrick Aussems kwenye nafasi hiyo msimu uliopita na nafasi yake kuchukuliwa na Sven Vandenbroeck.Sven ambaye aliikuta timu ikiwa inaongoza ligi aliendelea pale ambapo Aussems maarufu kama Uchebe alikuwa ameishia na alifanikiwa kutwaa taji la Ligi Kuu Bara pamoja na...
MANCHESTER UNITED YAMPIGA MTU MKONO
USIKU wa kuamkia leo Manchester United imeibuka na ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya RB Leipzig kwenye mchezo wa UEFA hatua ya makundi.Manchester United iliyo kundi H imecheza mchezo wake wa pili na kuibuka na ushindi huo mnono Uwanja wa Old Trafford. Kwa ushindi huo wanakuwa ni vinara wa kundi H baada ya kucheza mechi mbili na kushinda zote hivyo...
SVEN WA SIMBA ANA MTIHANI MZITO MWINGINE TENA MBELE YAKE
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa makosa ambayo wameyafanya kwenye mechi mbili zilizopita watayafanyia kazi kwenye mechi zao zijazo ili kuweza kupata matokeo chanya.Kocha huyo ana mtihani mgumu mwingine mbele yake wa kusaka pointi tatu mbele ya Mwadui FC ambao msimu uliopita kwenye mchezo wa ligi walipokutana mara ya kwanza Simba ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0.Simba imekwama...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA ALHAMISI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTI XTRA Alhamisi.
RUVU SHOOTING: UWEZO WA SIMBA NI MDOGO,PIRA BIRIANI SASA LITAKUWA KACHORI
MASAU Bwire, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting amesema kuwa uwezo wa timu ya Simba inayojiita ina kikosi kipana ndani ya uwanja ni mdogo jambo ambalo liliwafanya wawafunge bao 1-0 Uwanja wa Uhuru, Oktoba 26.Ruvu Shooting iliendelea kupiga pale ambapo Simba iliumia baada ya kutoka kupoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao...