SPOTIFY WAIKOA BARCELONA NA NJAA YA PESA ….WAKUBALI KUBADILI JINA LA UWANJA WAO CAMP NOU…
Mkataba wa kihistoria wa udhamini wa Barcelona na Spotify ni “moja ya dili bora zaidi duniani” alisema Makamu wa rais Juli Guiu…
Browse all posts in this category.
Mkataba wa kihistoria wa udhamini wa Barcelona na Spotify ni “moja ya dili bora zaidi duniani” alisema Makamu wa rais Juli Guiu…
Kinda wa Kitanzania Kelvin John (19) baada ya kupandishwa kucheza timu ya wakubwa ya KRC Genk ya Ubelgiji, hatimae jana alipata nafasi…
Meneja wa Habari na Mawasilino wa Simba SC Ahmed Ally amewapiga kijembe watani zao wa jadi Young Africans, baada ya kikosi chao…
Kiungo Mshambuliaji kutoka nchini Ghana na klabu ya Simba SC Bernard Morrisson amewashukuru Mashabiki na Wanachama wa klabu hiyo waliojitokeza Uwanja wa…
Beki wa Kushoto na Nahodha Msaidizi wa Simba SC Mohamed Hussein ‘Tshabalala’ amebeba jukumu la kutoa shukuruni kwa Mashabiki na Wanachama wa…
Mchezaji wa Simba SC Peter Banda amesema haikuwa kazi rahisi kupata tuzo ya mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Machi kutokana uwezo…
Mshambuliaji wa kutumainiwa wa USGN ya Niger Victorien Adebayor amekiri kuridhishwa na mazingira ya Tanzania tangu alipowasili akiwa na kikosi cha klabu…
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo. Mhe, Mohamed Mchengerwa ameipongeza timu ya Simba kwa kufuzu kuingia robo fainali ya ya Mashindano ya…
Kocha Mkuu wa USGN Zakariou Ibrahimu amesema uchanga wa kikosi chake, umefanya wapoteze mchezo wa mwisho wa ‘Kundi D’ Kombe la Shirikisho…
Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Simba SC huenda ikaangukia mikonini mwa klabu tatu kubwa Barani Afrika katika mchezo Robo Fainali, Kombe la…
Dakika 90 zilikamilika katika Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam na kuwashuhudia wawakilishi wa Tanzania Simba SC wakitinga hatua ya…
Pitia Ukurasa wa Mbele wa gazeti la Mwanaspoti leo Jumatatu.