Trending Stories
View All
ISHU YA MAKAME KUIKANA YANGA IPO HIVI
ABDULAZIZ Makame kiungo wa Yanga inaelezwa kuwa amekana kwamba yeye sio mchezaji wa Yanga bali ni wa Majimaji kutokana na…
SAFARI YA MWISHO YA ALIYEKUWA OFIA HABARI WA SIMBA ASHA MUHAJI IMEHITIMISHWA LEO
Verified SAFARI ya mwisho ya aliyewahi kuwa Ofisa Habari wa Simba Asha Muhaji ambaye alikuwa mwandishi mwandamizi imehitimishwa leo kwenye…
AKILI ZA HARUNA NIYONZIMA NDANI YA CHAMPIONI IJUMAA
KESHO ndani ya CHAMPIONI Ijumaa ni kiungo mshambuliaji wa Yanga, Haruna Niyonzima ameanza kuandika makala yake mwenyewe pamoja na ishu…
NYOTA WA CHELSEA APEWA RUHUSA KUIONA FAMILIA YAKE
TIMU ya Chelsea imekubali kumpa ruhusa nyota wake Willian Borges Da Silva kurejea kuiona familia yake.Winga huyo raia wa Brazil…
KANE:NIPO FITI NITAREJEA UWANJANI HIVI KARIBUNI
HARRY Kane amesema kuwa anaamini yupo fiti kwa sasa kurejea uwanjani iwapo Ligi Kuu England itarejea.Kane anayekipiga Klabu ya Tottenham…
NCHIMBI NYOTA WA YANGA ASEPA DAR MAZIMA NA KUIBUKIA KIJIJINI KUENDELEA NA MAISHA
DITRAM Nchimbi, mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa kutokana na kuchukua tahadhari ya Virusi vya Corona ameamua kusepa ndani ya Dar…
ALIYEKUWA KOCHA WA SIMBA, JAKSON MAYANJA AWAPA MAJUKUMU WACHEZAJI WAKE
JAKSON Mayanja, aliyekuwa Kocha Mkuu wa KMC, Kagera Sugar, Coastal Union na Simba amesema kuwa kutokaana na kusambaa kwa Virusi…
WACHEZAJI YANGA WAPIGWA STOP KULA CHIPSI YAI
DAKTARI wa Yanga, Sheikh Mngazija, amewapangia wachezaji hao vyakula maalumu na kuwapiga stop wachezaji hao kula vyakula visivyoeleweka. Agizo hilo…
WACHEZAJI MSIBWETEKE, TIMU ZITUMIE MAPUMZIKO HAYA KUYAFANYIA KAZI MAKOSA
CORONA kwa sasa imekuwa ni janga la dunia kiujumla kutokana na kusababisha athari kubwa kwa jamii ambayo ndani yake kuna…
MTUPIAJI WA SIMBA KUBAKI RWANDA KWA MUDA WA SIKU 30
MEDDIE Kagere mshambuliaji wa Simba atachelewa kurejea nchini kufuatia Shirika la Ndege la RwandAir kufuta safari zake zote kwa muda…
BEKI TEGEMEO WA YANGA ATAKA KUTIMKA JANGWANI
BEKI wa kati wa Yanga, Said Makapu, amefunguka kuwa amepanga kuondoka kwenye timu hiyo iwapo atapata nafasi ya kwenda kucheza…
TSHISHIMBI: BADO SIJAMALIZANA NA YANGA,TUKISHINDWANA NASEPA
PAPY Tshishimbi, kiungo wa Yanga amesema kuwa yupo kwenye mazungumzo na mabosi wake Yanga ili kumalizana nao kuhusu ishu yake…
WACHEZAJI SINGIDA UNITED KUSEPA MAZIMA
IMEELEZWA kuwa baadhi ya wachezaji wa Singida United wamepania kutimka jumlajumla ndani ya kikosi hicho baada ya siku 30 kukamilika.Ligi…
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTIXTRA ALHAMISI, NDINGA MPYA KABISA JISHINDIE
MUONEKANO wa UKURASA wa mbele Gazeti la SPOTIXTRA Alhamisi, lipo mtaani kwa jero tu na nafasi ya kushinda ndinga mpya…