MUONEKANO WA UZI MPYA WA KLABU YA SIMBA KWA AJILI YA MICHUANO YA KIMATAIFA
MUONEKANO wa jezi mpya za Klabu ya Simba kwa ajili ya michuano ya kimataifa.Simba itaanza kusaka tiketi ya kufuzu hatua ya makundi kwa kucheza...
AZAM FC WASISITIZA KUWA WANA JAMBO LAO
VINARA wa Ligi Kuu Bara, Azam FC wameweka bayana kuwa msimu huu wana jambo lao ambalo wanahitaji kulitimiza ndani ya Ligi Kuu Bara kwa...
SIMBA YATUMA UJUMBE KWA COASTAL UNION YA TANGA
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba wana kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Coastal Union Novemba 21.Mchezo huo wa raundi ya 11...
MTIBWA SUGAR YAIPIGA MKWARA TANZANIA PRISONS
OFISA Habari wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru amesema kuwa watapambana kufanya vizuri kwenye mechi zao zijazo ili kupata matokeo chanya.Ikiwa ipo nafasi ya 12...
BREAKING:KIGOGO YANGA AFUTWA KAZI
UONGOZI wa Yanga umemsimamisha kazi Kaimu Katibu Mkuu ambaye ni Mkurugenzi wa Sheria na Wanachama, wakili msomi Simon Patrick.Taarifa iliyotolewa imeeleza kuwa maamuzi hayo...
SIMBA YAINGIA ANGA ZA NAHODHA WA BIASHARA UNITED
NYOTA wa Kabu ya Biashara United, Abdulmajid Mangalo ambaye pia ni nahodha wa timu hiyo anatajwa kuingia anga za Simba. Mangalo ambaye ni kiraka mwenye...
KMC YAZITAKA POINTI TATU ZA VINARA WA LIGI AZAM FC
UONGOZI wa KMC umesema kuwa mchezo wao dhidi ya Azam FC utakuwa na ushindani mkubwa ila wamejipanga kupata pointi tatu.KMC ipo nafasi ya 6...
KOCHA NAMUNGO AFUTWA KAZI
IMEELEZWA kuwa Hitimana Thiery amefutwa kazi ndani ya Klabu ya Namungo FC inayotumia Uwanja wa Majaliwa kwa mechi zake za nyumbani.Kocha huyo ambaye alikipandisha...
ALICHOFANYIWA LUIS HUKO MSUMBIJI ACHA KABISA
KIUNGO msumbufu wa Simba, Luis Miquissone, juzi akiwa kwenye majukumu yake ya timu ya Taifa ya Msumbuji alikuwa kwenye wakati mgumu baada ya jitihada...
KAZE: KUREJEA KWA CARLINHOS KUTANIPA NGUVU YA KUPANGA KIKOSI KAZI
CEDRIC Kaze, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa uwezo wa kiungo wake raia wa Angola Carlos Carlinhos ni wa hali ya juu jambo ambalo...