MTAMBO WA MABAO NDANI YA AZAM FC PRINCE KUONJA JOTO YA JIWE
PRINCE Dube, nyota wa Klabu ya Azam FC ambaye amehusika kwenye mabao matatu kati ya matatu ambayo yamefungwa na timu hiyo kuanza kuonja joto...
KAGERA SUGAR V YANGA NI BALAA TUPU, REKODI ZAIGOMEA SARE
LEO Kagera Sugar inawakaribisha Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa majira ya saa 10:00 jioni.Ni mchezo wa kwanza kwa Yanga nje...
TRENT AMPA SAPOTI NYOTA MWENZAKE ROBERTSON
BEKI Trent Alexander-Arnold wa Klabu ya Liverpool ameonekana akimpigia debe mchezaji mwenzake Andy Robertson baada ya kuonesha vitabu vyake vipya kwenye gari yake huku akiwataka...
KOCHA YANGA AMPA MUDA YACOUBA
KOCHA Mkuu wa Yanga, Zlatko Krmpotic raia wa Serbia ameibuka na kumkingia kifua straika wake, Yacouba Songne kwa kusema kuwa anahitaji muda kwa ajili...
POPPE:NASUBIRI HUKUMU KUTOKA TFF
MJUMBE wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba na Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji, Zacharia Hans Poppe ameshangaa kuona hadi leo Kamati ya...
HIVI HAPA VIKOSI KAZI VIWILI MATATA VYA YANGA
KOCHA Mkuu wa Yanga Mserbia, Zlatko Krmpotic, tayari ametengeneza vikosi viwili vya timu hiyo katika kupata kimoja ambavyo alivitumia katika mchezo wa kirafiki dhidi...
ISHU YA VIINGILIO SIMBA YAACHA GUMZO
OFISA Habari wa Simba SC, Haji Manara amesema Bodi ya Ligi (TPBL) na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), wameridhia maombi ya kushusha viingilio vya...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la CHAMPIONI Jumamosi.
CIOABA WA AZAM FC KUIVAA MBEYA CITY BILA NYOTA WAKE MMOJA
ARISTICA Cioaba, Kocha Mkuu wa Azam FC atakiongoza kikosi chake kesho kumenyana na Mbeya City Uwanja wa Sokoine bila nyota wake mmoja, Agrey Morris.Nyota...
SIMBA YAIWEKA KWENYE MIPANGO YANGA MAPEMA
KOCHA Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Sven Vandenbroeck, ameelezea malengo yake hivi sasa ni kuhakikisha anashinda michezo mitano mfululizo ya Ligi Kuu Bara ukiwemo dhidi...