MCHEZO WA AZAM FC V MWADUI WAPELEKWA MBELE
MCHEZO uliopangwa kuchezwa Oktoba 9 kati ya vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2020/21, Azam FC dhidi ya Mwadui FC umesogezwa mbele...
KUNDI B FDL ‘LATEKWA’ NA TIMU ZA LIGI KUU BARA
IKIWA zimebaki siku mbili kufika Oktoba 9 kwa Ligi Daraja la Kwanza kuanza kutimua vumbi, kuna balaa lipo kundi B ambapo timu zilizoshuka kutoka...
SIMBA YAZUNGUMZIA ISHU YA DABI KUPELEKWA MBELE
UONGOZI wa Simba umesema kuwa umepokea taarifa za kupelekwa mbele kwa mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga uliopangwa kuchezwa Oktoba 11...
TAIFA STARS YAIVUTIA KASI BURUNDI
KIKOSI cha timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kinaendelea na maandalizi ya mchezo wa kirafiki wa kimataifa ulio kwenye kalenda ya Fifa.Mchezo huo...
YANGA YACHEKELEA DABI KUPIGWA NOVEMBA 7
BAADA ya Bodi ya Ligi Tanzania, (TBLB) kutangaza kuwa ule mchezo uliokuwa unasubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki wa soka nchini kati ya Yanga...
BREAKING:MECHI YA YANGA V SIMBA YAPELEKWA MBELE
ULE mchezo wa dabi kati ya Yanga na Simba ambao ulikuwa ukisubiriwa kwa shauku kubwa na mashabiki umepelekwa mbele na Bodi ya Ligi Tanzania...
MARIO GOTZE ASAINI DILI LA MIAKA MIWILI PSV
MARIO Gotze mchezaji wa zamani wa Klabu ya Borussia Dortumud na Bayern Munich amesaini dili la miaka miwili kuitumikia Klabu ya PSV Eindhoven akiwa...
BERNARD MORRISON, AJIBU WAMPA UGUMU KOCHA SIMBA
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kwa namna kikosi chake kilivyo huwa anapata tabu kuchagua kikosi cha kwanza kutokana na uwezo wa...
MAKOCHA HAWA WANNE WANAWANIA MIKOBA YA ZLATKO KRMPOTIC WA YANGA
BAADA ya uongozi wa Yanga kufikia makubaliano ya kusitisha mkataba na Zlatko Krmpotic aliyekuwa Kocha Mkuu wa Yanga msimu wa 2020/21 kwa sasa mchakato...
KOCHA STARS:TUTAPAMBANA KUPATA MATOKEO DHIDI YA BURUNDI
ETIENNE Ndayiragije, Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania amesema kuwa amekuwa akiwafuatilia wapinzani wake ambao atakutana nao uwanjani Oktoba 11 kwenye mchezo...