SAMATTA APIGIWA HESABU NA WEST BROM
IMEELEZWA kuwa Klabu ya West Brom ipo kwenye mpango wa kuipata saini ya nyota wa Aston Villa, Mtanzania, Mbwana Samatta.Samatta mwenye umri wa miaka...
KAGERA SUGAR YAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA YANGA
UONGOZI wa Kagera Sugar umesema kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho utakaowakutanisha mbele ya Yanga, Uwanja wa Kaitaba.Kagera Sugar itamenyana na...
KAGERA SUGAR YAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA YANGA
UONGOZI wa Kagera Sugar umesema kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wa kesho utakaowakutanisha mbele ya Yanga, Uwanja wa Kaitaba.Kagera Sugar itamenyana na...
KOCHA SIMBA ATAJA SABABU YA WACHEZAJI WAKE KUJENGA USHKAJI NA BENCHI
KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck amesema kuwa haijalishi ni mchezaji wa aina gani ambaye yupo kwenye kikosi chake wote ni sawa na wana...
MKE WA MUANGOLA WA YANGA ALIPAMBA CHAMPIONI
MKE wa kiungo mpya wa Yanga, Carlos Carlinhos, Katia Carapichoso Carmo ameonyesha kulikubali Gazeti la Championi baada ya juzi kuliposti kwenye ukurasa wake wa...
HII HAPA ORODHA YA WACHEZAJI 24 WA AZAM FC WALIOSAFIRI KUELEKEA MBEYA
Orodha ya wachezaji wa kikosi cha Azam FC waliosafiri leo Septemba 18 kuelekea Mbeya kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa Septemba...
KMC YATAMBA KUENDELEZA REKODI ZAKE VPL
OFISA Habari wa KMC, Christina Mwagala amesema kuwa kikosi kipo tayari kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Mwadui FC unaotarajiwa kuchezwa Septemba 21,...
BOSI YANGA AWATOA HOFU MASHABIKI
MSHAURI Mkuu wa Klabu ya Yanga kuelekea kwenye mabadiliko,Senzo Mazingisa raia wa Afrika Kusini, amefunguka kwa kuwafuta hofu mashabiki wa timu hiyo akiwaambia watulie...
BERNARD MORRISON MAMBO NI MAGUMU SIMBA
KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Bernard Morrison, ameonekana kuwa na maisha magumu ndani ya kikosi cha Simba, hii ni baada ya kutokuwa na uhakika wa...
MUANGOLA WA YANGA KUMCHOMOA KIUNGO NDANI YA KIKOSI CHA KWANZA
UPO uwezekano mkubwa kiungo mmoja kati ya watano waliokuwepo kwenye kikosi cha kwanza cha Mserbia, Zlatko Krmpotic nafasi yake kuchukuliwa na kiungo Carlos Carlinhos. Hiyo...