MTAMBO WA MABAO YA VIWANJA VIGUMU NDANI YA SIMBA KUANZA LEO

0
 KOCHA Mkuu wa Simba,Sven Vandenbroeck raia wa Ubelgiji amesema kuwa anaweza kumtumia nahodha wa kikosi hicho John Bocco kwenye kikosi cha leo kitakachomenyana na...

AZAM FC KAMILI GADO KUIVAA KAGERA SUGAR LEO

0
 ABDULKARIM Amin, Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Azam FC amesema kuwa wanahitaji kushinda kwenye mechi zote msimu huu ikiwa ni pamoja na mchezo wao...

MSERBIA WA YANGA ATIMKA BONGO

0
ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Yanga, Zlatko Krmpotic raia wa Serbia leo ameanza safari ya Kurejea nchini Serbia baada ya mkataba wake kusitisha jana Oktoba...

JKT TANZANIA V SIMBA MATOKEO YAO YA MECHI ZAO HAYA HAPA

0
 LEO Uwanja wa Jamhuri, Dodoma saa 10:00 jioni utachezwa mchezo kati ya JKT Tanzania dhidi ya Simba.Ikiwa ni mzunguko wa tano kwa sasa tayari...

BIASHARA UNITED YAIPIGA MKWARA MTIBWA SUGAR

0
 BAADA ya Biashara United ya mkoani Mara kupata sare ya kutofungana na timu ya Ruvu Shooting, Kocha Mkuu wa timu hiyo Francis Baraza amesema...

MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA

0
 HUU hapa msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga ikiwa ni namba moja baada ya kucheza mechi tano za Ligi Kuu Bara,  Simba leo...

MFEREJI HUU NDIO CHANZO CHA KUPIGWA CHINI ZLATKO, UNAPASWA UZIBWE

0
 KUNA kauli kadhaa zimekuwa zikitolewa na watu mbalimbali hasa makocha wa kigeni waliobahatika kufundisha soka hapa nchini wakisema kwamba, Watanzania wengi wanajifanya makocha na...

WACHEZAJI WAMPA KIBURI KOCHA MKUU WA SIMBA SVEN

0
 KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo utakaopigwa Uwanja wa Jamhuri dhidi ya JKT Tanzania...

KOCHA COASTAL UNION: WACHEZAJI WANGU WANARUDIARUDIA MAKOSA

0
 JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Coastal Union amesema kuwa wachezaji wake wamekuwa wakifanya makosa ambayo yanajirudia jambo ambalo linamfanya akose raha kila mara pale...

RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO OKTOBA 4

0
 LEO Oktoba 4 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea ikiwa ni mzunguko wa tano.Ratiba yake ipo namna hii:-Biashara United v Mtibwa Sugar, saa 8:00 mchana.JKT...