MPISHI WA MABAO YANGA AKUMBUKA UFUNDI WA MORRISON, AOMBA LIGI IREJEE

0
JUMA Abdul, nahodha msaidizi wa Yanga, amesema kuwa anaomba dua usiku na mchana janga la Virusi vya Corona lipite ili ligi irejee kutokana na...

SIMBA SC YAKOMBA MABEKI WOTE STARS

0
SIMBA ipo katika mawindo ya kuimarisha kikosi chake kwa msimu ujao wa ligi na michuano ya kimataifa, endapo itatwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania...

BORUSSIA DORTMUND WAIGANDA SAINI YA SANCHO

0
BORUSSIA Dortmund imeripotiwa kuwa imeanza mazungumzo na mchezaji wao Jadon Sancho ili aongeze mkataba wake kuendelea kubaki Klabuni hapo.Nyota huyo mwenye miaka 20 amekuwa...

CHAMA ATIBUA DILI LA MKUDE, NDEMLA YANGA

0
WACHEZAJI wawili ndani ya kikosi cha mabingwa watetezi Ligi Kuu Bara Simba ambao wote ni viungo, Jonas Mkude na Said Ndemla, watakuwa wamepoteza dili...

SIMBA NA YANGA ZAKUTANA KWA BEKI HUYU KITASA, MWENYEWE AFUNGUKA

0
BAKARI mwamnyeto, beki anayekipiga Coastal Union, dili lake la kutua Simba limeingiliwa kati na wapinzani wa jadi Yanga ambao wanahitaji huduma yake.Beki huyo chipukizi...

KOCHA ALIYEPATA TABU MSIMU HUU MBELE YA YANGA LEO AMETIMIZA MIAKA KADHAA

0
SELEMAN Matola ndani ya Simba msimu huu ameongoza timu hiyo kwenye mechi 18 akiwa ni Kocha Msaidizi baada ya kujiunga na mabingwa hao watetezi...

MORATA: KUMKABILI DIJK NI HABARI NYINGINE

0
ALVARO Morata, mshambuliaji wa Klabu ya Atletico Madrid amesema kuwa kukabiliana na beki kitasa wa Liverpool, Virgil van Dijk kunahitaji akili kwani ni ngumu...

OBREY CHIRWA ATOA NENO LA KISHUJAA AZAM FC

0
OBREY Chirwa, nyota wa Azam FC amesema kuwa ataendelea kutoa burudani ndani ya klabu hiyo baada ya kuongeza kandarasi ya mwaka mmoja.Nyota huyo jana,...

YANGA YAINGIA ANGA ZA RASTA HUYU WA MTIBWA SUGAR

0
SALUM Kihimbwa, mshambuliaji wa Mtibwa Sugar mwenye rasta kichwani ameingia kwenye hesabu za mabosi wa Yanga ambao wanahitaji kuboresha kikosi chao msimu ujao.Hivi karibuni...

SABABU ZA UWANJA WA AZAM COMPLEX KUWA SAWA NA TP MAZEMBE HIZI HAPA

0
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa tayari ukarabati wa Uwanja wa Azam Complex umekamilika asilimia zote ukiwa sawa na ule wa TP Mazembe huku...