KAGERE, HITIMANA MAMBO BADO MAGUMU KWAO

0
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo FC na mshambuliaji namba moja wa Simba, Meddie Kagere mwenye mabao 19, wote raia wa Rwanda mambo kwao...

RASTA ANAYEZICHANGANYA SIMBA, YANGA NA AZAM FC ATAJA ATAKAPOMWAGA WINO

0
BARAKA Majogoro, Kiungo wa Polisi Tanzania amesema kuwa msimu ujao ana imani atabaki ndani ya timu yake hiyo kwa kuwa ina nafasi kubwa ya...

YANGA YATAJA SABABU YA KUKAMIA MECHI KUBWA

0
NAHODHA wa Yanga, Papy Tshishimbi amesema kuwa sababu kubwa inayomfanya awe tofauti kwenye mechi kubwa za kitaifa na kimataifa ni maamuzi yake kutumia uwezo...

AFC ARUSHA YAIANGUKIA TFF

0
UONGOZI wa Arusha FC,(AFC) inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza umeliomba Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF) kuwakumbuka katika wakati huu wa janga la Corona kwa kuzipa...

MANULA NA KAKOLANYA UWANJANI WAPO NAMNA HII

0
AISHI Manula amekaa langoni kwenye mechi 21 za Ligi Kuu Bara.Beno Kakolanya amekaa langoni kwenye mechi saba. Simba ikiwa imecheza mechi 28 imefungwa mabao 15.Manula...

BADO ANAKUMBUKWA HISTORIA YAKE ITABAKI PALEPALE SIR FERGUSON

0
KWENYE maisha yake ya kuwa Kocha Mkuu, jana, Mei 8, 2013 miaka saba iliyomeguka alitangaza kustaafu kwenye nafasi yake aliyokuwa. Sir Alex Ferguson alitangaza kujiuzulu...

CHAMPIONI TUNAENDELEA KUJALI VITA DHIDI YA CORONA KWA VITENDO

0
TUNATAMBUA umuhimu wa afya za wasomaji wetu pamoja na Watanzania wote kwa ujumla. Tunajua janga la Virusi vya Corona ni adui wa afya na...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI, LIPO MTAANI

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Jumamosi, lipo mtaani nafasi ya kushinda ndinga ni yako

MSHAMBULIAJI WA LIPULI ANAPIGA TIZI MARA MBILI KWA SIKU

0
PAUL Nonga nahodha wa Lipuli amesema kuwa kwa siku anapiga mazoezi mara mbili ili kulinda kipaji chake baada ya Ligi Kuu Bara kusimamishwa kutokana...

NCHIMBI ANASHIKILIA REKODI YA KUWA MSHAMBULIAJI WA KWANZA KUFUNGA HAT TRICK

0
DITRAM Nchimbi, mshambuliaji wa Yanga kwa msimu wa 2019/20 anashikilia rekodi ya kuwa mshambuliaji wa kwanza kufunga hat trick.Aliwatungua Yanga ambao ni mabosi wake...