MBELGIJI WA YANGA AACHIWA KAZI YA KUCHAGUA WACHEZAJI ANAOWATAKA

0
UONGOZI wa Yanga umempa makali Kocha Mkuu wa kikosi hicho, Luc Eymael kufanya uchaguzi wa wachezaji ambao anaona watafaa kuendelea kubaki ndani ya kikosi...

NYANDA ZA JUU PALE KUNANI NDANDA KWA SASA

0
NYANDA za Kanda za Juu Kusini kuna timu mbili ambazo zinapambana ndani ya Ligi Kuu Bara zikiwa kwenye mipango tofauti kwa sasa.Namungo ya Ruangwa...

KOSAKOSA ZA KAGERE KWA YANGA BADO ZIPO KICHWANI MWAKE, HIKI HAPA AMESEMA

0
MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba amesema kuwa nafasi mbili alizomkosa mlinda mlango wa Yanga, Metacha Mnata kwenye dabi ya Kariakoo huwa zinamkosesha raha.Kagere alikosa...

NAMNA TAMBWE ANAVYOTUONYESHA MAKOSA YA USAJILI KATIKA KLABU ZETU

0
NA SALEH ALLYSASA Yanga tayari imecheza mechi 27 za Ligi Kuu Bara na mchezaji anayeongoza kwa mabao ya kufunga katika kikosi hicho ana nane.David...

LALA SALAMA UMUHIMU WA UMAKINI KWENYE LIGI ZOTE NI LAZIMA ILI KUEPUSHA JANJAJANJA

0
MSIMU wa 2019/20 wa Ligi Kuu Tanzania Bara taratibu unazidi kumeguka ikiwa kwa sasa timu nyingi zimebakiwa na mechi 10 na nyingine mechi 11...

ISHU YA RAIS WA CAF KUTUA BONGO KUZINUFAISHA SIMBA NA YANGA

0
UJIO wa Rais wa Shirikisho la Soka Afrika (Caf), Ahmad Ahmad hapa nchini utazipa matunda mazuri klabu kongwe nchini Simba na Yanga kimataifa.Rais huyo...

DROO YA KWANZA JISHINDIE GARI NI JUMATANO, ZAWADI KIBAO KUTOLEWA

0
HATIMAYE ile siku iliyokuwa inasubiriwa kwa shauku kubwa na wanunuzi wa magazeti bora ya michezo Tanzania, Championi ambalo lipo mtaani kwa mia nane na...

SUALA LA CORONA TAHADHARI MUHIMU, TIMU ZIJIPANGE, FIGISUFIGISU HAZILETI AFYA KWENYE SOKA

0
MAMBO yanapozidi kuwa magumu inaelezwa kuwa kuna wepesi unakuja huu msemo upo kila siku kwenye maisha ila ukiutumia kwenye michezo unapotea jumlajumla.Kwa sasa Ligi...

VIONGOZI WA KLABU ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU ENGLAND KUKUTANA LEO, ISHU YA MIKATABA NAYO NI...

0
IMEELEZWA kuwa nguvu kubwa kwa sasa inayotumika kuimaliza Ligi Kuu ya England kabla ya Juni 30 ni kutokana na kandarasi za wachezaji wengi kukaribia...

KUMBE FIRMINO ALITABIRIWA MAKUBWA TANGU MDOGO, WAZAZI WAKE WALIMZUIA KUCHEZA SOKA WAKIHOFIA ANGEKUJA KUWA...

0
ROBERTO Firmino Barbosa de Oliveira, nyota anayekipiga ndani ya Klabu ya Liverpool inaelezwa kuwa wazazi wake walikuwa hawataki kumuona akicheza soka wakihofia kuumia kwa...