NAMUNGO V YANGA LEO NI SHUGHULI PEVU MAJALIWA

0
LEO Uwanja wa Majaliwa, Namungo FC itaikaribisha Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao utaikutanisha miamba hii inayotesa ndani ya tano bora na...

KOCHA MTIBWA SUGAR ATAJA KINACHOIPONZA TIMU YAKE

0
ZUBER Katwila, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar amesema kuwa vijana wake wanakosa utulivu wanapoingia kwenye 18 jambo linalowapa wakati mgumu wa kupata matokeo.Mtibwa Sugar,...

YANGA:TUNAZITAKA POINTI ZA NAMUNGO, MASHABIKI TUPENI SAPOTI

0
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa mashabiki wajitokeze kwa wingi kuwapa sapoti watakaposhuka Uwanja wa Majaliwa kusaka pointi tatu mbele ya Namungo FC.Yanga iliyo chini...

LICHA YA KUSEPA NA POINTI TATU, POLISI TANZANIA YAKIRI KUBANWA NA NDANDA

0
MALALE Hamsini, Kocha Mkuu wa Polisi Tanzania amesema kuwa ushindi walioupata mbele ya Ndanda FC haujamfurahisha kutokana na kuzidiwa mbinu na wapinzani wake.Polisi Tanzania...

NAMUNGO: TUNAZITAKA POINTI TATU ZA YANGA

0
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo ambaye atakuwa mwenyeji leo Uwanja wa Majaliwa mbele ya Yanga amesema anawatambua vema wapinzani wake jambo ambalo halimpi...

MWADUI FC WAISAMBARATISHA TANZANIA PRISONS

0
MWADUI FC jana Machi 14 wamesepa na pointi tatu mbele ya Tanzania Prisons kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara.Wallace Kiango dk ya 12 alianza...

KAGERE ATAJA ANACHOKIPENDA KUKIFANYA AKIWA NDANI YA UWANJA

0
MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba amesema kuwa furaha yake ni kufunga na atakuwa akifanya hivyo kila akipata nafasi.Kagere ni kinara wa utupiaji ndani ya...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTIXTRA JUMAPILI, NDINGA UNAKAMATA KWA JERO TU

0
MUONEKANO wa UKURASA wa mbele GAZETI la SPOTIXTRA Jumapili, unajipatia ndinga kwa jero tu

MZUNGU WA AZAM FC ALIA NA UBUTU WA SAFU YA USHAMBULIAJI

0
ARSTICA Cioaba, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa wachezaji wake wanashindwa kutumia nafasiwanazozipata jambo linalowapa ugumu kusepa na pointi tatu.Azam FC imefunga  mabao...

KUMEKUCHA JANGWANI, HAWA HAPA PANGA LINAWAHUSU JUMLAJUMLA

0
ERICK Kabamba, Yikpe Gnamien,David Molinga, ni miongoni mwa wachezaji wa kigeni ambao wanajadiliwa na uongozi wa Yanga ili kujua hatma yao ndani ya kikosi...