DITRAM NCHIMBI: NINAFANYA MAZOEZI KULINDA KIWANGO CHANGU
DITRAM Nchimbi, mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa licha ya kuwa kwenye mapumziko bado anaendelea kufanya mazoezi ili kuwinda kiwango chake.Nyota huyo mwenye mabao sita...
WINGA CHELSEA AIKUMBUKA FAMILIA YAKE
NYOTA wa timu ya Chelsea, Willian Borges da Silva raia wa Brazil amewaomba mabosi wake wampe ruhusa ya kusepa ndani ya London ili kuifuata...
BALAA LA KAKOLANYA LIPO NAMNA HII UWANJANI
SIMBA ikiwa imecheza mechi 28 kwa sasa ndani ya Ligi Kuu Bara mlinda mlango wake namba mbili Beno Kakolanya amedaka mechi saba.Kwenye mechi hizo...
NAMUNGO: TUTAREJEA KWENYE UBORA WA AWALI
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo amesema kuwa muda wa mapumziko kwa sasa utawarejesha kwenye morali wachezaji wake.Ligi Kuu Bara imesimamishwa kwa muda wa...
SIMBA YATOA SOMO HILI KUHUSU CORONA KWA WATANZANIA
GADIEL Michael, beki wa Simba amewataka watanzania kuchukua tahadhari za kujilinda dhidi ya Corona ili kulinda afya zao na familia kiujumla.Akizungumza na Saleh Jembe,...
HIKI NDICHO ANACHOKIFANYA MORRISON KUJILINDA NA CORONA
BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa kwa kipindi hiki cha maambukizi ya Corona anachukua tahadhari kwa kukaa ndani na kuskiliza muziki ili...
TFF KUWAPIGA STOP WACHEZAJI WATAKAOVUKA MIPAKA YA TANZANIA
WALLACE Karia, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) amesema kuwa wachezaji wote wa kigeni wanaotumika ndani ya Tanzania iwapo wataondoka nchini hawataruhusiwa kurudi...
SIMBA YAMFUATA MKALI ZAIDI YA MORRISON, MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI...
MUONEKANO wa UKURASA wa mbele GAZETI la CHAMPIONI Jumamosi, nafasi ya kushinda ndinga mpya ni yako
VITA YA WABABE HAWA NDANI YA LIGI KUU BARA YASIMAMISHWA KWA MUDA
LIGI Kuu Tanzania Bara imesimamishwa kwa muda wa siku 30 ili kupambana na kusambaa kwa virusi vya Corona ambavyo ni janga la dunia kwa...
WACHEZAJI MSIJISAHAU KUSIMAMA KWA LIGI LAZIMA MLINDE VIPAJI VYENU, TAHADHARI YA CORONA MUHIMU
HOFU kubwa kwa sasa imetawala kila kona ya dunia kutokana na kusambaa kwa Virusi vya Corona ambavyo vilianza kusambaa mwezi Desemba mwaka jana nchini...