MASAU BWIRE:MPAPASO BILA MASHABIKI HAUNOGI
MASAU Bwire, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting amesema kutokana na tamko la Bodi ya Ligi Kuu Bara kuwa endapo Ligi Kuu Bara itarejea timu...
NDEMLA, SURE BOY HAO YANGA NI NDANI YA GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU
MUONEKANO wa UKURASA wa mbele GAZETI la CHAMPIONI Jumatatu
MEDDIE KAGERE KUMBE KWA PENALTI HAJAMBO,CHEKI MABAO ALIYOFUNGA NA ALIYOKOSA
MEDDIE Kagere mshambuliaji wa Simba ndani ya kikosi cha Simba amepewa jukumu la kupiga penalti.Kwenye jumla ya mabao 19 ambayo Kagere amefunga kwenye Ligi...
KIUNGO HUYU MTIBWA SUGAR YUPO TAYARI KUIBUKIA YANGA
KIUNGO wa Mtibwa Sugar, Abdulhalim Humoud, ameweka bayana kuwa anajisikia furaha kusikia kuwa anahusishwa na kujiunga na Yanga kutokana na ukubwa wa timu hiyo...
YANGA:NDEMLA AONDOKE SIMBA KUTAFUTA CHANGAMOTO MPYA
HARUNA Niyonzima, Kiungo mshambuliaji wa Yanga amemshauri kiungo wa Simba Said Ndemla kutafuta changamoto mpya ili apate nafasi ya kucheza.Ndemla kwa sasa ndani ya...
MAPROO WAWILI SIMBA KUKUTANA NA BALAA ZITO, KAGERE NDANI
BALAA kubwa huenda likawakumba baadhi ya wachezaji wa kimataifa wa Simba kutokana na kudaiwa kukiuka taratibu za klabu hiyo.Wachezaji hao ni Mnyarwanda, Meddie Kagere,...
MKUDE; WENGI WANASEMA JUU YANGU,SIWEZI KUWAZUIA
JONAS Mkude, kiungo mkabaji ndani ya klabu ya Simba amesema kuwa watu wengi wanaomsema vibaya hawezi kuwazuia kwa kuwa wameamua kumwandama bila kujua kinachomsumbua.Mkude...
HAWA HAPA NI MWENDO WA SABASABA NDANI YA LIGI KUU BARA
LIGI Kuu Bara kwa sasa imesimama kutokana na kupisha maambukizi ya Virusi vya Corona.Wachezaji wanaendelea kujifua kulingana na programu ambazo wamepewa na makocha wao...
GALLAS BADO ANAKOMAA KUJIWEKA FITI
WILLIAM Lucian ‘Gallas’, beki wa Polisi Tanzania, amesema kuwa anatumia muda mkubwa kufanya mazoezi ili kuwa fiti endapo Ligi Kuu Bara itarejea.Kwa sasa ligi...