BECKER WA LIVERPOOL AGOMEA KULA BATA, KAZI KAMA KAWA

0
ALISSON Becker raia wa Brazil mlinda nyavu za Liverpool amegomea kula bata wakati wa mapumziko na badala yake anaendelea kufanya mazoezi kujiweka fiti.Mlinda mlango...

SIMBA YENYE MAUMIVU YAIFUATA MTIBWA SUGAR YENYE HASIRA

0
VerifiedMABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Simba leo wameanza safari kuelekea Morogoro kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar...

GUARDIOLA ISHU YA STERLING, ANAFIKIRIA KINOMA

0
RAHEEM Sterling nyota wa Manchester City leo atakosekana kwenye mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya West Ham.Nyota huyo ameumia nyama za paja na...

ISHU YA WAAMUZI ITAFUTIWE DAWA MAPEMA, TIMU ZIJIPANGE KIUKWELI

0
HUKO mtaani wanasema waamuzi hasa wanaochezesha mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu ni janga la soka letu.Kelele hizo zimekuja hivi karibuni baada...

MZUNGU WA SIMBA MECHI 10 AMEFUNGWA MABAO NANE, MATOKEO YAKE HAYA HAPA

0
SVEN Vandernbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amekaa benchi kwenye jumla ya mechi 10 za Ligi Kuu Bara baada ya kurithi mikoba ya Patrick Aussems.Ameshinda...

BODI YA LIGI KUIFUTIA ADHABU YANGA, ISHU NZIMA IKO NAMNA HII

0
ZIKIWA zimepita siku kadhaa baada ya Kamati ya Saa 72 kuiadhibu Yanga kutokana na makosa mbalimbali ikiwemo ya kutumia chumba kisicho rasmi kubadilishia nguo,...

TAMKO LINGINE LA SERIKALI LATOLEWA JUU YA SAMATTA NA MBAPPE

0
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amempongeza nahodha wa timu ya Taifa, Mbwana Samatta kwa kuweka historia ya kuwa Mtanzania wa kwanza kucheza Ligi Kuu ya...

WAWILI WAMPA JEURI KOCHA SIMBA

0
Kocha Mkuu wa Simba, Mbelgiji Sven Vandenbroeck amefurahia ujio wa viungo wake washambuliaji, Luis Miquissone na Shiza Kichuya akiamini utaiboresha safu yake ya ushambuliaji.Kauli...