AZAM FC YATUMA UJUMBE HUU KWA TANZANIA PRISONS

0
AZAM FC, leo  Februari,5 itakuwa Uwanja wa Taifa saa 10:00 Jioni kumenyana na Tanzania Prisons mchezo wa Ligi Kuu Bara.Februari,2 ilianza kwa sare ya...

MNAOCHIPUKIA MSIZIPE NAFASI PROPAGANDA ZA HUMUD WA MTIBWA SUGAR

0
Na Saleh AllyTUMEKUWA na kawaida ya kubadilisha uchukuliaji wa mambo. Yale ya kawaida tukayapa uzito sana na mazito tukayachukulia kuwa mepesi tu, nafikiri ni...

SIMBA YATOA TAMKO KUHUSU KUFUNGA BAO LA KUOTEA

0
UONGOZI wa Simba umesema kuwa kwa wale ambao wanalalamika kwamba wamefunga bao la kuotea waripoti taarifa hiyo kituo cha Polisi wakiwa na maelezo kamili.Ofisa...

BETIKA MUONEKANO WAKE WA MBELE UPO NAMNA HII, JIPATIE NAKALA YAKO BURE KABISA

0
GAZETI LA Betika Lipo Mtaani nakala yake ni Bure kabisa ni maalumu kwa Takwimu na habari za kimataifa za michezo pia kuna matangazo ya...

HIZI HAPA LEO TIMU 14 UWANJANI KUSAKA POINTI TATU

0
LIGI Kuu Bara leo Februari,5,2020 inaendelea na leo timu 14 ziakuwa kazini kuzisaka pointi tatu muhimu.Ratiba yao ipo namna hii:- Namungo v Alliance, Majaliwa.Ndanda...

KOCHA POLISI TANZANIA AFICHUA KILICHO NYUMA YA KUSHINDWA MBELE YA SIMBA

0
MALALE Hamsini, Kocha Mkuu wa Polisi Tanzania amesema kuwa mchezo wake wa jana Februari,4 mbele ya Simba ulikuwa ni mzuri walichoshindwa ni uzoefu tu...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO, LIPO MTAANI

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Jumatano, Lipo mtaani

VIRGIL VAN DIJK KUONDOKA LIVERPOOL

0
HUKO ughaibuni, taarifa inayosambaa kwa kasi ni Juventus kujipanga kumng’oa beki wa Liverpool, Virgil van Dijk katika dirisha lijalo la usajili wa majira ya...

MCHEZAJI COASTAL UNION ALIVYOWAFANYIA KITU MBAYA SIMBA

0
Jumamosi iliyopita kikosi cha Simba kilipambana na Coastal Union ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar...

FRAGA AWEKA AHADI NYINGINE SIMBA

0
KIUNGO mkabaji wa Simba, Mbrazili Gerson Fraga, ametamba kwamba ataendelea kufunga mabao kwenye ligi kila mara atakapokuwa akipata nafasi ya kuanza ndani ya kikosi...