HILI NDILO JESHI LA MTIBWA LILILOANZA DHIDI YA SIMBA
MTIBWA Sugar jeshi lake lililoanza dhidi ya Simba lipo hivi
LIVE FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI: MTIBWA SUGAR 0-0 SIMBA
Dakika ya 27 Kakolanya anaanzisha mashambulizi kwa KadoDakika ya 25 Simba wanapata faulo nje kidogo ya 18 inapigwa na ChamaDakika ya 24 Simba wabapata...
KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA MTIBWA SUGAR
Kikosi cha Simba dhidi ya Mtibwa Sugar, mechi ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar.
U 17 MNASTAHILI PONGEZI KWA USHINDI WA KWANZA, TIMU ZA VISIWANI ZANZIBAR ZINAPASWA ZIJITATHIMINI...
MICHUANO ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka huu wa 2020 tamati yake itakuwa leo Jumatatu ambapo itacheza mechi ya fainali kwenye Uwanja wa Amaan...
REKODI ZA KIBABE ZA MAPINDUZI ZIPO NAMNA HII, HAPA NDIPO UTAMU ULIPO
LEO Jumatatu, Uwanja wa Amaan visiwani Zanzibar kutakuwa na kazi moja tu kwa mashabiki wa mpira kushangilia timu zao za Simba na Mtibwa Sugar,...
MBELGIJI WA YANGA NA MSAUZI WAPEWA MWAKA MMOJA NA MIEZI SITA
LUC Eymael Kocha Mkuuwa Yanga, raia wa Ubelgiji na Riedoh Berdien, Kocha Msaidizi na viungo wameingia mkataba wa mwaka mmoja na miezi sita kuitumikia...
KATWILA: WACHEZAJI MTIBWA SUGAR WANA DENI MBELE YA MASHABIKI
ZUBER Katwila, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar amesema kuwa wachezaji wake wote wana deni kutokana na kusema kuwa mechi ya Yanga ilikuwa ngumu kuliko...
MBELGIJI WA YANGA AANZA KUIVUTIA KASI KAGERA SUGAR KWA MTINDO HUU
MBELGIJI wa Yanga, LUC Eymaela ameanza leo kuwapeleka kwa kasi wachezaji wake wa Yanga kwenye mazoezi yaliyofanyika Uwanja wa Polisi.Eymaela ameanza kukinoa kikosi hicho ambacho...
SIMBA: TUNALITAKA KOMBE LA MAPINDUZI
PASCAL Wawa, beki wa Simba amesema kuwa leo watapmabana mbele ya Mtibwa Sugar kulitwaa kombe la Mapinduzi.Simba ilitinga hatua ya fainali kwa ushindi wa...
VITA YA MAPINDUZI LEO NI SIMBA AMA MTIBWA KUJULIKANA
MICHUANO ya kombe la mapinduzi inafikia tamati leo huko visiwani Zanzibar ikikutanisha timu mbili kutokea Tanzania bara ambazo ni Simba ya jijini Dar, na...