MWILI JUMBA, SHIKALO SASA KUWAVAA RUVU SHOOTING, YANGA YAKAMIA KINOMA LEO
LIGI kuu Tanzania bara inaendelea leo kwa mchezo mmoja kati ya Yanga dhidi ya Ruvu Shooting utakaopigwa uwanja wa Uhuru majira ya saa 10:00...
REAL MADRID KUKUTANA NA WABAYA WAKE SEPTEMBA 28
MCHEZO wa watani wa jadi wa Madrid, Atletico Madrid na Real Madrid unatazamiwa kuchezwa Septemba 28 Uwanja wa Wanda Metropolitan.Atletico Madrid watakuwa wenyeji wa...
NDEMLA AIGOMEA SIMBA
Baada ya Simba kutolewa katika michuano ya kimataifa, kiungo wa timu hiyo, Said Ndemla amesema kuwa inahitajika juhudi kubwa kwa sasa kupata nafasi ya...
METACHA ALIAMSHA DUDE YANGA
INAELEZWA kuwa kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera ameanza kupata wakati mgumu juu ya nani awe kipa namba moja kutokana na kiwango cha juu anachokionyeha...
HI NI NEEMA, MMOJA YANGA AMWAGIWA MIFEDHA
MSHAMBULIAJI wa Yanga raia wa Uganda, Juma Balinya Jumamosi iliyopita alioga noti kutoka kwa viongozi na mashabiki wa timu hiyo waishio Botswana na nchi...
MUONEKANO WA GAZETI LA CHAMPIONI KATIKA UKURASA WA MBELE LEO JUMATANO
Muonekano wa gazeti la Championi katika ukurasa wa mbele leo Jumatano
WMBO WA DIAMOND PLATNUMZA WAPIGWA MARUFUKU KENYA
Wimbo Tetema wa Msanii Raymond Mwakyusa maarufu Rayvanny aliomshirikisha Diamond Platnumz umepigwa marufuku kupigwa katika maeneo ya wazi nchini Kenya.Mbali na Tetema, wimbo mwingine...