SIMBA YAWAZUIA MASHABIKI KUIZOMEA YANGA, HAYA NDIO MAAMUZI YA UONGOZI KIMATAIFA
KUELEKEA kwenye michezo ya kiamataifa ambayo inatarajia kuanza kesho kwa timu nne za Tanzania kupeperusha Bendera ya Kimataifa, Uongozi wa Simba umewazuia mashabiki wa...
WAPINZANI WA LIVERPOOL LEO WAGOMA KUPAKI BASI
DANIEL Farke, bosi wa Norwich City leo amesema kuwa ana kazi ngumu leo mbele ya Liverpool kwenye mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu England...
HAWA HAPA NANE WAMEBAKI BONGO WAKATI SIMBA IKIKWEA PIPA KUWAFUATA WAPINZANI WAO KIMATAIFA
HAWA hapa nyota nane wa Simba wamebaki Bongo wakati kikosi kikwea pipa leo kuelekea Msumbiji:-Said NdemlaYusuf MlipiliKennedy JumaAishi ManulaWilker da Silver.Ibrahim AjibHaruna ShamteMiraj Athuman
NINJA WA YANGA SASA AWA WA KIMATAIFA, USO KWA USO NA IBRAHIMOVIC
ABDALAH Shaibu 'Ninja' amejiunga na klabu ya LA Galaxy inayoshiriki Ligi Kuu ya Marekani Kwa kandarasi ya miaka mitatu.Nyota huyo amejiunga na klabu hiyo...
JESHI LA SIMBA LILILOKWEA PIPA KUELEKEA MSUMBIJI LEO HILI HAPA
KIKOSI cha Simba kilichokwea pipa leo kuwafuata wapinzani wao UD do Songo nchini Msumbiji leo mchezo utakaochezwa kesho Msumbiji hiki hapa:-Beno KakolanyaGadiel MichaelShomari KapombeErasto...
TATIZO LA YANGA KIMATAIFA LIPO HAPA, WAPANIA KUWAPOTEZA TOWNSHIP ROLLERS KESHO
BAADA ya Jana Yanga kukamilisha ratiba ya michezo yake miwili visiwani Zanzibar leo wanatarajia kurejea Bongo.Kwenye kambi ndogo visiwani Zanzibar ilicheza mechi mbili ambazo...
ARSENAL YAMALIZANA NA MABEKI DAKIKA ZA USIKU, MENEJA AMPA TANO LUIZ
ARSENAL imekamilisha dili la kuzipata saini za mabeki wawili dakika za usiku kabla ya dirisha la usajili kwa timu za Premier League kupigwa pini. David...
IWOBI MAMBO SAFI EVERTON, AIKACHA ARSENAL MAZIMA
EVERTON imethibitisha kuinasa saini ya mshambuliaji wa kikosi cha Arsenal, Alex Iwobi.Nyota huyo anayekipiga timu ya Taifa ya Nigeria amesaini kandarasi ya miaka mitano.Iwobi...
TOWNSHIP ROLLERS WATUA NA MAJI YAO DAR KUCHEZA NA YANGA TAIFA – VIDEO
KUEPUKA kufanyiwa hujuma na wapinzani wao Yanga, kikosi cha Township Rollers, jana kilitua jijini Dar es Salaam kikiwa na vinywaji vyao ikiwemo maji na...
BEKI TANZANITE AWEKA REKODI TAMU, KILA MECHI ANACHEKA NA NYAVU, ANA TUZO MOJA YA...
ENEKIA Kasonga,beki kisiki wa timu ya Taifa ya Wanawake chini ya miaka 20 'Tanzanite' ameweka rekodi tamu kwenye michuano ya COSAFA inayoendelea nchini Afrika...