BENCHIKHA AWAKUTANISHA SAIDO NA BALEKE KWENYE BALAA HILI
Mastaa wa Simba kwenye upande wa ushambuliaji ikiwa ni Jean Baleke, John Bocco na viungo, Saidi Ntibanzokiza ‘Saido’ watakutana na balaa la Kocha Mkuu, Abdlehak…
Mastaa wa Simba kwenye upande wa ushambuliaji ikiwa ni Jean Baleke, John Bocco na viungo, Saidi Ntibanzokiza ‘Saido’ watakutana na balaa la Kocha Mkuu, Abdlehak…
Mshambuliaji kutoka DR Congo Jean Baleke amewashusha presha Mashabiki na Wanachama wa Klabu ya Simba SC kwa kusema bado wana nafasi ya kusonga mbele kwenye…
Simba inaangalia uwezekano wa kumpa mkataba wa kudumu mshambuliaji wake, Jean Baleke, kwa ajili ya kukiimarisha kikosi chao. Baleke hivi sasa yupo kwa mkopo Simba,…
Klabu ya Simba inaelezwa ipo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha dili la kumsajili mshambuliaji wa klabu hiyo Jean Othos Baleke kwa kumpa mkataba wa…
Wakati huu ambao Yanga wanaonekana kukosa mshambuliaji sahihi wa kumrithi Straika wao alietimkia Misri Fiston Mayele. Mchambuzi wa michezo kutoka TV3, Alex Ngereza anatuarifu kuwa…
Mshambuliaji wa Simba SC, Jean Baleke amefunga goli lake la 7 katika msimu huu wa Ligi Kuu ya NBC katika mechi dhidi ya Namungo FC…
Straika wa Simba SC, Jean Baleke amesema leo, watawashushia mvua ya magoli Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC. Simba SC anashuka dimbani…
PRINCE Dube, nyota wa Azam FC anakula sahani moja na Jean Baleke wa Simba kwenye suala la utupiaji ndani ya Ligi Kuu Bara. Ikumbukwe kwamba…
KIUNGO mpya wa Simba, Aubin Kramo raia wa Ivory Coast, amesema malengo yake ni kuona timu inafanikiwa zaidi kuliko mafanikio binafsi, hivyo atahakikisha anawatengenezea nafasi…