CHAMA,MUSONDA WAREJEA ZAMBIA….. ISHU IKO HIVI
Kiungo Mshambuliaji wa Klabu ya Simba SC ,Clatous Chama pamoja na mshambuliaji wa Klabu ya Yanga SC ,Kennedy Musonda ni sehemu ya wachezaji walio kwenye…
Kiungo Mshambuliaji wa Klabu ya Simba SC ,Clatous Chama pamoja na mshambuliaji wa Klabu ya Yanga SC ,Kennedy Musonda ni sehemu ya wachezaji walio kwenye…
Kocha wa zamani wa Simba SC, Patrick Phiri raia wa Zambia amesema klabu ya Simba inapaswa sasa kufikia hatua ya kuachana kabisa na mchezaji Clatous…
Hakuna kitu kibaya kama kutoaminika kwenye maisha. Simba na Clatous Chama wamekuwa na ndoa ya muda mrefu, lakini hakuna anayemuamini mwenzake. Ni kweli Chama bado…
Benchi jipya la ufundi la Simba chini ya Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha limedhamiria kufanya mambo makubwa mawili ili kuendeleza heshima iliyoijenga timu hiyo pamoja na…
Disemba 21, 2023 Klabu ya Simba SC ilitoa taarifa ya kuwasimamisha wachezaji wake Clatous Chama na Nassor Kapama kwa makosa ya utovu wa Nidhamu. Mara…
Kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Clatous Chama na mwenzake Nassor Kapama wamesimamishwa na uongozi wa timu hiyo kwa sababu za utovu wa nidhamu, kwa mujibu…
Mchezaji wa zamani wa Taifa Stars na vilabu vya Yanga na Simba, Bakari Malima ‘Jembe Ulaya’ amesema kuwa, kiungo mshambuliaji wa Simba, Clatous Chama amechoka…
Shabiki maarufu wa Klabu ya Simba, anayefahamika kwa jina la Mchome amesema kuwa kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Clatous Chama kwa sasa hana msaada tena…
Kiungo mshambuliaji Clatous Chama anajadiliwa kwamba huwenda akaanza kwenye mchezo dhidi ya Wydad kutokana na kila alichokionesha kwenye mchezo dhidi ya Jwaneng Galaxy. Mchambuzi wa…
Nyota wa Zambia anayechezea Simba SC, Clatous Chama amesema anakiri kwamba hawakucheza vizuri kwenye michezo mitatu iliyopita lakini si kwamba kuna ugomvi ndani ya timu.…