Home Tags Habari za Michezo

Tag: Habari za Michezo

MAPYA YAIBUKA SAKATA LA CLATOUS CHAMA…HAPOKEI SIMU ZA YANGA

0
TAARIFA kutoka chanzo cha kuaminika Simba SC, kinaeleza kwamba Sakata la Clatous Chama kujiunga na Yanga bado ngoma ni mbichi, kwa sababu Chama hajafurahishwa...

KUNA HII KAULI YA SENZO YANGA…MAMBO MAZURI YANAKUJA

0
ALIYEKUWA CEO wa Yanga, Muafrika Kusini Senzo Mbatha amesema mrithi wake Andre Mtine anastahili pongezi nyingi kutokana na mafanikio ya timu hiyo. Senzo aliiongoza Yanga...

AZAM WAPIGA MKWARA MZITO SIMBA & YANGA

0
UONGOZI wa Azam FC umebainisha kuwa kwenye anga la kimataifa wanaimani watafanya kitu kikubwa ambacho kitawashangaza wengi ambao hawana imani na timu hiyo. Ipo wazi...

AZIZ KI KUMFUATA MAYELE, SIMBA WAMKATAA LOMALISA

0
WAKATI Yanga wakipambana kumbakiza, Stephane Aziz Ki ambaye ndiye kinara wa upachikaji wa mabao msimu huu (21) inaelezwa Pyramids FC ya Misri imeonyesha nia...

SABABU ZA MO DEWJI KUMKATAA CHAMA SIMBA…HIZI HAPA

0
KIUNGO wa Simba, Clatous Chama amekwama mazima ndani ya Simba kuifikia rekodi yake ya kuwa namba moja katika kutengeneza pasi za mwisho ndani ya...

AZIZ KI NA REKODI HIZI YANGA HANA MPINZANI

0
MWAMBA Aziz Ki ni mtambo wa kuvunja rekodi ndani ya kikosi cha Yanga kutokana na kasi yake kuwa kwenye mwendelezo bora wakati wote kwenye...

MATOLA, ZAKAZAKAZI, KOMBA…WATOA USHAURI VAR LIGI KUU

0
Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amesema Serikali inakusudia kuwasilisha pendekezo la kuondoa kodi kwenye vifaa vya teknolojia inayomsaidia mwamuzi kufanya marejeo ya picha (Video...

HABARI ZA USAJILI YANGA: DENIS NKANE HUYOO…KIJANA KACHOKA

0
WAFANYABIASHARA wa Mara wanataka kuendeleza biashara yao kwa kinda wa Yanga Denis Nkane, ilikuongeza nguvu kwenye kikosi chao ambacho kinajipanga kufuzu Ligi Kuu Tanzania...

TETESI ZA USAJILI YANGA…LOBOTA ANUKIA…ANAJUA KUFUNGA

0
KLABU ya Yanga ipo kwenye mazungumzo ya karibuni zaidi na mshambuliaji wa klabu ya Ihefu Emmanuel Bola Lobota. Lobota aliyejiunga na Ihefu katika dirisha dogo...

MTAKOMA…YANGA KUJENGA UWANJA WAO…KILA KITU TAYARI

0
HABARI ZA YANGA LEO; Serikali imefikia uamuzi wa kutoa ruhusa kwa klabu ya Yanga kujenga uwanja wake wa kisasa katika eneo la Jangwani yalipo...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS