Latest Posts

HUYU HAPA MSAIDIZI WA AUCHO YANGA

Klabu ya Yanga imefungua mazungumzo na kiungo mkabaji Bonaventure Fonseca anayekipiga Teungueth Fc ya Senegal. Mazungumzo ya awali yamefanyika na mchezaji amevutiwa na uhamisho huo.…

Habari za Yanga

YANGA AMTAFUTIA MSAIDIZI KIUNGO MKABAJI

Swali ni moja tu, Kwa mfano pale Yanga Khalid Aucho anaumia,Yanga wanaenda kucheza na CR BELOUZDAD ugenini, fikiria eneo la kiungo mkabaji atacheza nani na…