Habari za Yanga
Habari za michezo

YANGA AMTAFUTIA MSAIDIZI KIUNGO MKABAJI

Staff Desk November 11, 2023 2:29 pm

Swali ni moja tu, Kwa mfano pale Yanga Khalid Aucho anaumia,Yanga wanaenda kucheza na CR BELOUZDAD ugenini, fikiria eneo la kiungo mkabaji atacheza nani na nani?

Jibu utaliona hapo, Yanga wanap viubgo wengi kama Mkude,Mudathir,Sure Boy na Zawadi Mauya lakini sioni mwenye uwezo wa kuituliza timu kama Aucho,kukaba kama Aucho..

Hivyo kuelekea dirisha dogo la usajili Yanga wanatakiwa kuongeza mtu kwenye eneo hilo pamoja na maeneo mengine kama Mshambuliaji wa kati wa maana.

YANGA BADO ANAMSAKA PACHA WA MAYELE ROBERTINHO AGUSIA USAJILI WA SIMBA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply