Habari za michezo
HUYU HAPA MSAIDIZI WA AUCHO YANGA
Staff Desk
December 13, 2023
2:01 pm
Klabu ya Yanga imefungua mazungumzo na kiungo mkabaji Bonaventure Fonseca anayekipiga Teungueth Fc ya Senegal.
Mazungumzo ya awali yamefanyika na mchezaji amevutiwa na uhamisho huo. Yanga wataanza mazungumzo na Teungueth hivi karibuni.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.