Home Habari za michezo HUYU HAPA MSAIDIZI WA AUCHO YANGA

HUYU HAPA MSAIDIZI WA AUCHO YANGA

0

Klabu ya Yanga imefungua mazungumzo na kiungo mkabaji Bonaventure Fonseca anayekipiga Teungueth Fc ya Senegal.

Mazungumzo ya awali yamefanyika na mchezaji amevutiwa na uhamisho huo. Yanga wataanza mazungumzo na Teungueth hivi karibuni.