KIRAKA MPYA WA YANGA APEWA MITIHANI MITATU CHAP
Yanga tayari ina uhakika wa kupata huduma ya kiraka kutoka Zanzibar, Shekhan Ibrahim Khamis, lakini fundi huyo mpya ana mitihani mitatu ndani ya kikosi hicho…
Yanga tayari ina uhakika wa kupata huduma ya kiraka kutoka Zanzibar, Shekhan Ibrahim Khamis, lakini fundi huyo mpya ana mitihani mitatu ndani ya kikosi hicho…
Mwenyekiti wa Simba SC, Murtaza Mangungu, amesema timu yao imepitia kipindi kigumu cha kukosa matokeo lakini sasa wameanza kuyapata hivyo mashabiki waiunge mkono timu. Amesema…
Wakati Yanga wakijiandaa na mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mtibwa Sugar, Kocha wa Yanga ametoa kauli ya kuwajibu wale wote wanaojaribu kumshauri kikosi cha…
Kocha Mkuu wa Young Africans Miguel Gamondi amemjibu Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar Zuberi Katwila, kwa kusema hasira zake zote atazihamishia katika mchezo wa Ligi…
Baada ya kuambulia matokeo mabaya kwenye Michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika, Miamba ya Soka la Bongo Simba SC na Young Africans inatarajia kurudi…
Wizara y utamaduni Sanaa na michezo imewasilisha malalamiko rasmi kwa TFF na kuwataka Yanga kugharamia uharibifu uliofanyika uwanja wa Benjamin Mkapa kwenye mchezo wao dhidi…
Azam FC kwa sasa ipo moto, lakini hilo halijamshtua Kocha wa JKT Tanzania, Malale Hamsini ambaye kesho Jumatatu timu yake itavaana na vinara hao wa…
Wakati Kocha Mkuu wa Young Africans, akianika mikakati yake kuelekea mechi mbili za nyumbani za Ligi ya Mabingwa Barani Afrika dhidi ya Medeama FC na…
Baada ya kuachana na Kocha kutoka nchini Uganda Moses Basena, uongozi wa Klabu ya Ihefu FC huenda ukamtwaa aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wa Young Africans…
Yanga ndio mabingwa wa Ligi Kuu Bara, mabingwa wa kihistoria na ndiyo timu iliyofanikiwa zaidi katika historia ya soka la Bongo. Kwa sasa ndiyo timu…