ONANA ATOA YA MOYONI MARUDIANO DHIDI YA AL AHLY
Kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Willy Onana, ametoa kauli ya kishujaa kueleka mchezo wao marudiano dhidi ya Al Ahly hapo kesho Oktoba 24, 2023. Onana…
Kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Willy Onana, ametoa kauli ya kishujaa kueleka mchezo wao marudiano dhidi ya Al Ahly hapo kesho Oktoba 24, 2023. Onana…
Pale Simba Onana ameanza kujichimbia kaburi yeye mwenyewe kwasababu amesahau kabisa kuwa Simba sio Ihefu. Onana hakumbuki kabisa alisajiliwa kwa gharama kubwa na mbwembwe na…
Unaweza ukawa unajiuliza huyu Max Mpia Nzengeli hiki ambacho anakifanya Yanga ni kama vile mara yake ya kwanza ila hapana; huyu mwamba huu ni mwendelezo…
KOCHA Mkuu wa Simba, Mbrazili, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema anataka kuona timu yake ikipata ushindi wa mabao mengi zaidi, huku akipanga kutengeneza muunganiko wa safu…
MABAO mawili ya Simba yaliyofungwa na Willy Onana na Fabrice Ngoma yametosha kufuta uteja kwa Simba kushindwa kupata matokeo mbele ya marais wa nchi wakishinda…
Kiungo Mshambuliaji kutoka nchini Zambia na klabu ya Simba SC, Clatous Chama aibuka na kutamka kuwa ujio wa kiungo Willy Onana utaifanya timu hiyo, ifunge…
Kocha Mkuu wa Simba SC, Roberto Oliviera ‘Robertinho’, amewafungia kazi Washambuliaji wake wapya akiwemo Luis Miquissone na Willy Essomba Onana kwa kuwataka wahakikishe wanaongeza nguvu…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa usajili ambao wameufanya msimu huu unastahili kwao kufanya vyema msimu ujao haswa kuyarudisha mataji yote ambayo wameyapoteza kwa misimu…
KOCHA Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ tayari amerejea kambini kwa chama hilo nchini Uturuki akitokea kwenye kozi fupi iliyofanyika Brazil huku akitua na faili…
Baada ya kurejea kambini nchini Uturuki, Kocha Mkuu wa Simba SC, Roberto Oliveira Robertinho ameanza na mastaa wapya akiwemo Luis Miquissone na Willy Onana. Robertinho…