MASTAA SIMBA WAJIVIKA MABOMU KUMALIZANA NA POWER DYNAMO
Kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos, Kocha Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira ‘Robertinho’, amewapa majukumu mazito viungo wa timu hiyo…
Kuelekea mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos, Kocha Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira ‘Robertinho’, amewapa majukumu mazito viungo wa timu hiyo…
Mashabiki wa Klabu Bingwa nchini Zambia Power Dynamos wapo safarini kuelekea jijini Dar es salaam kwa ajili ya kuishangilia timu yao, itakayokabiliwa na mchezo wa…
Klabu ya Simba SC, imesema iwe mvua iwe jua, lazima iwashushie kichapo Power Dynamos katika mchezo wa Klabu Bingwa Afrika utakaopigwa Jumapili, Oktoba 1, 2023…
Kikosi cha Simba kimeingia kambini kujiandaa na mechi ya mkondo wa pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos ya Zambia utakaochezwa Jumapili…
Baada ya kupata ushindi mnono dhidi ya Coastal Union katika mechi ya Ligi Kuu ya NBC, Wekundu wa Msimbazi Simba SC akili yao wanaielekeza kwenye…
UONGOZI wa Simba, umetangaza kuwafuata wapinzani wao Power Dynamos ya nchini Zambia mapema Alhamisi, huku wakiwa na kikosi chote wakijipanga kupangua hujuma za wapinzani wao…
UONGOZI wa Simba, umeweka wazi kuwa, muda uliopo kwa sasa ni benchi la ufundi chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira kusuka silaha za maangamizi kwenye…
Ni rasmi Mnyama Simba SC anaanza kutupa tiketi yake ya kwanza kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Afrika dhidi ya mabingwa wa Zambia Power Dynamos Septemba…
Baada ya kutinga Raundi ya Kwanza ya mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kuing’oa African Stars ya Namibia kwa faida ya bao la ugenini…
Wakati ikijiandaa kuikabili Power Dynamos ya Zambia, katika mechi ya awali ya hatua ya pili ya Ligi ya Mabingwa Barani Áfrika, Kocha Roberto Oliveira ‘Robertinho’,…