Tag: Simba SC
LEONEL ATEBA KUANZA RASMI KUCHEZA SIKU HII
Mshambuliaji mpya wa Simba, Leonel Ateba sasa ruska kuitumikia klabu hiyo katika michezo ya Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kukamilika vibali vya kazi...
TETESI ZA USAJILI…FREDDY FUNGA FUNGA ANAHITAJIKA TIMU YA ATEBA.
Huenda muda wowote kutoka sasa mshambuliaji wa Simba Freddy Michael Koublan akajiunga na USM Alger ya Ligi Kuu Algeria.
USM Alger wanataka kumsajili Fred kama...
SIMBA KUSHUKA DIMBANI LEO…KUFUZU CAF
Timu ya wanawake kutoka Tanzania Simba Queens, inatarajiwa kushuka dimbani leo dhidi ya Kawempe Muslim FC kutoka nchini Uganda katika Uwanja wa Abebe Bekila,...
KAULI YA YACOUBA SONGNE BAADA YA KUIKOSA SIMBA
BAADA ya kukaa jukwaani katika mchezo uliopita dhidi ya Simba, Aliyekuwa nyota wa zamani wa Yanga na sasa Tabora United, Yacouba Songne amesema alikuwa...
SIMBA YASHUSHA HOFU…HATMA YA MUTALE
Hatma ya ukubwa wa jeraha la kiungo mshambuliaji wa Simba, Joshua Mutale kujulikana kesho baada ya kufanyiwa vipimo vya awali vya madaktari.
Joshua alipata jeraha...
TFF YAAMULIWA KULIPA MAMILIONI…KOSA LATAJWA NA MAHAKAMA
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limefikia makubaliano nje ya mahakama katika shauri la madai lililokuwa limefunguliwa na kampuni ya Romario Sports 2010 Limited, kwa...
FADLLU DAVIDS ANATAKA KUWEKA REKODI CAF
KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids, amewaambia wanachama na mashabiki wa timu hiyo kuwa wawe na subira kidogo, kwani kikosi chake kinaelekea kwenye ubora...
SIMBA IMEANZA KUJIPATA…SIKIA KUHUSU AWESU NA WENZAKE
UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa taratibu nyota wao wanazidi kuimarika kutokana na maandalizi mazuri ambayo wanayafanya chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids.
Simba mchezo wa...
KUHUSU JEAN AHOUA…HANS RAPHAEL ATAKA APEWE MUDA
Mchambuzi wa michezo wa Crown Media Hans Raphael amemuelezea kiungo mpya wa Simba Jean Charles Ahoua, juu ya uwezo wake uwanjani.
"Mdogo wangu Jini Charles...
AHMED ALLY ATAMBA NA SIMBA YAKE
UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa taratibu nyota wao wanazidi kuimarika kutokana na maandalizi mazuri ambayo wanayafanya chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids.
Simba mchezo wa...