AHAMED ALLY AWEKA WAZI KILICHOMPELEKA GAMONDI KWENYE MECHI YA SIMBA JANA
Ofisa Habari wa Klabu ya Simba Sc, Ahmed Ally amesema kuwa, Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi alikwenda jana kwenye Dimba la Mkapa kujifunza mbinu…
Ofisa Habari wa Klabu ya Simba Sc, Ahmed Ally amesema kuwa, Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi alikwenda jana kwenye Dimba la Mkapa kujifunza mbinu…
Ni umakini kwenye safu ya kiungo, ulinzi na mlinda mlango wa Simba hawa ni tatizo ndani ya mechi tano mfululizo ambapo iliruhusu jumla ya mabao…
Kikosi cha Simba SC leo Oktoba 28 watakuwa na kibarua mbele ya Mbogo Maji kutoka kule Mbeya Kikosi cha hefu mchezo wa Ligi Kuu Tanzania…
Mara baada ya kuondolewa na Al Ahly ya nchini Misri katika michuano ya African Football League (AFL), Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed…
Licha ya Kocha wa Simba, Robertinho kusisitiza kila mechi ina mpango wake, mashabiki wa klabu hiyo wamecharuka. Wamechachamaa wakihoji kila kona; “Kwanini Moses Phiri haanzi?”…
Beki wa zamani wa Simba, Boniface Pawasa amewapa ukweli mashabiki wa timu yake wanaomsonya kiungo wao mshambuliaji Kibu Denis akisema jamaa atacheza sana kwenye timu…
Baada ya kuondolewa na Al Ahly ya nchini Misri katika michuano ya African Football League (AFL), Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed…
Imefahamika kuwa Mshambuliaji kutoka nchini Zambia Moses Phiri hana furaha ndani ya Klabu ya Simba SC, na huenda akaondoka kikosini hapo kama mambo yataendelea kuwa…
Kocha wa Simba Roberto Oliviera ‘Robertinho’, amesema timu yake inacheza kwa malengo ndio maana anazingatia zaidi matokeo uwanjani kuliko kile watu wanachohoji kuhusu timu hiyo.…
Kocha wa Simba, Oliviera Robertinho amesema moja ya silaha muhimu alizonazo kwenye kikosi chake ni Kibu Denis ambapo anaweza kumbadilisha kumpa jukumu lolote gumu na…