HAKUNA UNYONGE AL AHLY ANAPIGIKA MBONA
Ubora wa kikosi cha Simba ambao unazungumzwa kwenye midomo na mashabiki pamoja na viongozi ni vitu viwili ambavyo vinafikirisha. Haina maana kwamba wachezaji wa Simba…
Ubora wa kikosi cha Simba ambao unazungumzwa kwenye midomo na mashabiki pamoja na viongozi ni vitu viwili ambavyo vinafikirisha. Haina maana kwamba wachezaji wa Simba…
Kocha Mkuu wa Simba SC, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ amesema anafahamu mchezo wa kesho dhidi ya Al Ahly utakuwa mgumu hivyo kuna mabadiliko atayafanya kwenye kikosi.…
Mlinda mlango wa wa klabu ya Simba Sc, Aishi Manula ‘Air Manula’ na winga Aubin Kramo hawatakuwa sehemu ya kikosi ambacho kitakipiga kwenye mchezo wa…
“Niachieni mimi,” hiyo ni kauli ya Kocha Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ baada ya kuulizwa maandalizi yake kuhusu mechi ya marudiano ya African Football…
Simba imewasili jijini Cairo nchini Misri tayari kwa mchezo wa kesho wa marudiano ya African Football League dhidi ya Al Ahly lakini kuna mambo mawili…
Kocha wa Simba, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ wala hana presha na mchezo wa marudiano akiwatumia salamu Al Ahly kuwa wanakwenda kupambana, huku akipangua kikosi. amesema “Mimi…
Kwa madaraja ya timu zinazokutana kwenye mchezo wa leo, natarajia kuona mpira uliotulia, pasi nyingi na kupeana nafasi ya kucheza sio kukamiana na kugongana ‘kuvamiana.’…
KOCHA wa Simba, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ wala hana presha na mchezo wa marudiano akiwatumia salamu Al Ahly kuwa wanakwenda kupambana, huku akipangua kikosi. Simba ilitarajiwa…
Pale Simba Onana ameanza kujichimbia kaburi yeye mwenyewe kwasababu amesahau kabisa kuwa Simba sio Ihefu. Onana hakumbuki kabisa alisajiliwa kwa gharama kubwa na mbwembwe na…
Imefahamika kuwa baadhi ya vigogo wa Simba SC wametangulia nchini Misri kwa ajili ya kuweka mambo sawa na moto, kabla ya mchezo wa Mkondo wa…