KOCHA WA YANGA GAMONDI ANENA NA MASHABIKI, ASEMA HAYA
KOCHA Mkuu wa klabu ya Yanga Miguel Gamondi amesema hana shinikizo lolote kuelekea msimu ujao na anaimani yakufanya vizuri akiwa na mabingwa hao wa soka…
KOCHA Mkuu wa klabu ya Yanga Miguel Gamondi amesema hana shinikizo lolote kuelekea msimu ujao na anaimani yakufanya vizuri akiwa na mabingwa hao wa soka…
RAIS wa Klabu ya Yanga Hersi Said amesema timu hiyo inatarajia kumtangaza mchezaji mwingine mpya kwenye kikosi hicho ili kuongeza nguvu kuelekea msimu ujao. Mhandisi…
ZIMEBAKI siku nne kuanzia leo mashabiki wa Yanga kushuhudia tamasha kubwa la kilele cha Wiki ya Mwananchi ambalo wanalitumia kutambulisha wachezaji wapya na wa zamani…
YANGA imetambulisha wachezaji wapya watano hadi sasa ambapo wanne ni wa kigeni na wawili wazawa, lakini chanzo kimepenyezewa iko mbioni kushusha wengine watatu ili kufunga…
Aliyekuwa kocha wa Yanga Nasreddine Nabi amesaini mkataba wa miaka miwili kuwafundisha Mabingwa wa Ligi Kuu ya Morocco FAR Rabat. Nabi amesaini mkataba huo jana…
LIGI imeanza mapema. Ndio, huko mtaani na kwenye mitandao ya kijamii ile ligi ya mashabiki na wapenzi wa klabu za Simba na Yanga imeanza. Hii…
KOCHA wa zamani wa Yanga na AS Vita, Roul Shungu, amefunguka kuwa, kitendo cha Simba kufanikiwa kumpata aliyekuwa kiungo wa Al Hilal ya Sudan, Fabrice…
UONGOZI wa Singida Fountain Gate umesema kuwa wanatamani kuwa na kiungo Mkongomani Yannick Bangala na Mghana Bernard Morrison kwa ajili ya msimu ujao huku ukipanga…
WAKATI dirisha la usajili ukizidi kushika kasi kwa klabu mbalimbali kufukuzia na kuwasainisha majembe mapya, taarifa za viungo washambuliaji Clatous Chama na Luis Miquissone wameshtua…
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga pamoja na mafanikio makubwa waliyoyapata msimu uliopita wakitwaa mataji matatu – Ngao ya Jamii, Ligi Kuu Bara, Kombe…