MAYELE APEWA RUHUSU RASMI NA YANGA, HUYU HAPA NDIO MRITHI WAKE
UNAAMBIWA sasa ni rasmi kuwa mshahara wa milioni 50 aliopewa Fiston Mayele unamhalalisha hatakuwa mchezaji tena wa Yanga msimu ujao baada ya kuomba kwenda kukipiga…
UNAAMBIWA sasa ni rasmi kuwa mshahara wa milioni 50 aliopewa Fiston Mayele unamhalalisha hatakuwa mchezaji tena wa Yanga msimu ujao baada ya kuomba kwenda kukipiga…
Uongozi wa Yanga umefikia makubaliano ya kumuuza nyota wao wa kimataifa wa DR Congo, Fiston Mayele baada ya nyota huyo kuonyesha nia ya kutaka kuondoka,…
ishu ya Clatous Chama na Simba ni kama imeisha na muda wowote kiungo huyo atarejea mzigoni. Chama alitingisha kutaka kutimka klabuni hapo kwa kile alichodai…
MASHABIKI wa Yanga kwa sasa akili hazijatulia, hii ni kutokana na vuta nikuvute iliyopo baina ya klabu hiyo na straika Fiston Kalala Mayele. Mwamba huyu…
Hali si shwari baada ya kiungo mshambuliaji wa Simba, Clatous Chama kudaiwa kutaka limalizana na timu hiyo kwa kigezo cha mkataba kumalizika akisema ana ofa…
Joto likiwa linazidi kupanda kwa Mashabiki wa Soka nchini wakitaka kumjua mchezaji atakaeva jezi namba 6 ya Yanga ambayo ilikuwa ikivaliwa na Feisal Salum alietimkia…
WACHEZAJI wapya wa Azam FC kutoka Senegal, beki Cheikh Sidibe na mshambuliaji Alasane Diao wameanza vizuri baada ya kufunga mabao katika mchezo wa kirafiki dhidi…
KLABU ya Yanga imemtambulisha beki wa kulia, Kouassi Attohoula Yao (26) kuwa mchezaji wake mpya wa tano kutoka ASEC Mimosas ya kwao, Ivory Coast. Wachezaji…
KOCHA Mkuu wa Azam, Youssouph Dabo ameridhishwa na kambi ya maandalizi ya msimu ya timu hiyo ‘Pre Season’ inayoendelea nchini Tunisia huku akitaka michezo mitano…
KAMA Kocha Miguel Gamondi ataridhia wiki hii mazoezini kwamba Djuma Shabaan apigwe chini, viongozi watashusha chuma kingine fasta ambacho inadaiwa hata Simba walikitamani. Mwanaspoti limejiridhisha…